Uchaguzi 2020 Mambosasa: Wagombea ubunge walioshindwa warudi majimboni mwao

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
 
Wanaruhusiwa ila sio kuandaa maandamano! Kura zipigwe Arusha na "ziibwe" Arusha alafu maandamano ufanyie Ubungu?
Umesima hilo katazo la Kulakula Mambosasa au unajibu tu sababu unadhani ni swali jepesi?
 
Haya ni maandamano yasiyokuwa na kikomo....leo ndio siku ya kwanza, aluta continua hadi Oktoba 2025. Anayedhani ataweza kuyazima maandamano haya anajichosha bure. Bora kuanzisha njia za kidiplomasia ili kupunguza makali ya maandamano siku za usoni.
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Magufuli kaanza ukatili wake, kazi imeanza
Sasa watu wapangiwe wawe wanaishi wapi?? Au wawe wanakwenda wapi?
 
Nyie wenzetu ni wajinga sijawahi kuona. Hayo maandamano yapo wapi?
Haya ni maandamano yasiyokuwa na kikomo....leo ndio siku ya kwanza, aluta continua hadi Oktoba 2025. Anayedhani ataweza kuyazima maandamano haya anajichosha bure. Bora kuanzisha njia za kidiplomasia ili kupunguza makali ya maandamano siku za usoni.
 
Back
Top Bottom