Labda.kwanza kwa mtu mwenye makandokando kama Mambosasa kutuma mamluki wake kwenda kumpekua Mcha Mungu Mwamakula ni laana kwa nchi
Labda.kwanza kwa mtu mwenye makandokando kama Mambosasa kutuma mamluki wake kwenda kumpekua Mcha Mungu Mwamakula ni laana kwa nchi
Kujikosha na kuleta propaganda za kipuuzi. Nilipiga kura kwa JPM na nyumbani kwangu nilisaidia kuhifadhi askari aliyekuwa amepangiwa kulinda kituo 'X' Tabata (alikuja akalala kwangu na asubuhi nilienda nae kituo cha kupiga kura).Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Such a contradiction!Mkuu Mambosasa kama umempuuza , masharti ya dhamana yamefuata nini?
Ukiwa mfuasi wa u dictator na u communist unakosa hata busara za kujibu hoja . Bali mtu wa propaganda na kukumbatia utesaji wa raia wenziyo Magonjwa MtambukaHaka kaaskofu kakimatwa unalalamika, kakiachiwa vile vile unalalamika; wewe vipi wewe?
Haka kaaskofu kakimatwa unalalamika, kakiachiwa vile vile unalalamika; wewe vipi wewe
Wamempa kiki isiyo ya lazimaJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Mnasema corona ipo serikali haichukui hatua,
Halafu muda huo huo mnataka kukusanya watu wakadai katiba mpya,
Au mikusanyiko wakati wa shughuli zenu tu ndio hakuna maambukizi??
Inashangaza Sana.
MUNGU akurehemuHuyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
aminaMUNGU akurehemu
Yamepuuzwa na wapuuziTumempuuza lina maana gani kwenye hii context