Hao watu 20 si tayari mkusanyiko, na yakiwepo makundi makundi 100 ya watu 20 , ni watu 2000 hao, punguza mahaba kamanda.Ndiyo maana alisema ni matembezi ya hiari ya kila kundi lisilozidi watu 20. Wewe unafikiri Askofu ni mjinga kama wanaCCM (TWAWEZA)?
Mkuu hbari za mitandaoni huoni kama zina ukubwa wake nin??Wa Kupuuzwa hapo ni Mambosasa...unamkamata mtu kwa habari za mitandaoni.
Mambosasa anachoweza ni kuvaa magwanda yenye nyota na kuita waandishi wa habari basi, ila kinachotoka kinywani mwake ambacho ni wakilisho la kilichomo kichwani mwake ni sifuri. Sijawahi kumwelewa huyu eti KamandaJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Yaani ni mpuuzi tu hana madhara.Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context
Polisi huwa hawafanyii kazi habari za mitandaoni ,Rejea lissu alivyotoa malamiko ya kufatiliwa na wasiojulikana kabla hajapigwa risasi kupitia mitandao ya kijamii na polisi wakasema kwamba lissu hajawahi kuripoti kituo chochote na huwa hawanyii kazi taarifa za mitandao ya kijamii.Mkuu hbari za mitandaoni huoni kama zina ukubwa wake nin??
Watu 20 waliotengana hatua 2 wanatengeneza hatari ya maambukizi ya corona? Wewe unapingana na wataalam wa afya?Hao watu 20 si tayari mkusanyiko, na yakiwepo makundi makundi 100 ya watu 20 , ni watu 2000 hao, punguza mahaba kamanda.
Polisi wetu wenhi wamebakiza akili za kuvalia suluali na kofia. Zaidi ya hapo, hawana kitu kichwani.Polisi huwa hawafanyii kazi habari za mitandaoni ,Rejea lissu alivyotoa malamiko ya kufatiliwa na wasiojulikana kabla hajapigwa risasi kupitia mitandao ya kijamii na polisi wakasema kwamba lissu hajawahi kuripoti kituo chochote na huwa hawanyii kazi taarifa za mitandao ya kijamii.
Propaganda tu hizo za kumdiscredit Askofu ili asionekane ni mtu wa maana!!Tumempuuza lina maana gani kwenye hii context
katiba anayoitaka ni kwa ajili ya manufaa na ustawi wako na kizazi kijacho, lkn kama una akili za kunguni kamwe huwezi kuona namna anavyojitoa kwa ajili ya hayo. Kungekuwepo na duka la kununua akili ningekushauri uende ukanunue lkn ndio hivyo, ujinga utakuandama hadi kiama.Huyo askofu uchwara kaamua kutumia hii njia ili kujiongezea umaarufu kanisani kwake ili kapu lijae
Pongezi kwa jeshi la polisi kumshughulikia na kumpuuza
Nasi wananchi tumempuuza Mambosasa na kumwachia bila dhamana.Hawa ni viongozi wa polisi akili zipo hivi!!
Mkuu Mambosasa , ccm uliyoitumikia miaka yote imekubali Katiba MpyaJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Askofu Emmaus Mwamakula wa kanisa la Uamsho la Moravian baada ya kufanya upekuzi nyumbani kwake.
Taarifa za kushikiliwa Mwamakula zilitolewa na polisi jana Jumatatu Februari 15, 2021 kupitia mtandao wa kijamiii kabla ya Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuthibitisha kumshikilia.
Akizungumza leo Jumanne Februari 16,2021 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema baada ya jeshi hilo kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake limemuachia baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
“Tumempuuza na baada ya kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake, mchana huu tumemuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti,” amesema.
Awali polisi walieleza kumshikilia kumshikilia Mwamakula kutokana na taarifa aliyoichapisha mtandaoni iliyokuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kuandamana kushinikiza kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Mwananchi
Na Kombeo lilisharushwa na Goliath chali