Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,228
- 17,443
Tumeiona taarifa ya Secretary of State wa USA, Mike Pompeo akithibitisha kuwa Paul Christian Makonda amekuwa blacklisted kuingia USA. Anyway unaweza ukapuuza kuwa mbona haendagi mara kwa mara na akiwa na shida atakwenda Ulaya au China.
Nina ushauri kwa RPC wa Kanda Maalum Lazaro Mambosasa. Kwa dalili zote jina la 2 litakalo kuwa blacklisted na Mike Pompeo ni Lazaro Mambosasa. Nina sababu kama 2 au 3.
(1) Mambosasa alikuwa ndiye RPC wa Dodoma wakati Tundu Lissu anashambuliwa, na kwa aliyoyafanya akapewa kanda Maalum kama shukrani.
(2) Mambosasa amekuwa akitumika kama dodoki na Paul Makonda katika kutelekeza udhalimu wote kama vile tukio la Mo Dewji, Azory Gwanda, utekaji wa akina Bollen Ngeti, Tito Magoti, Eric Kabendera nk.
Ushauri:
Kwanza atambue kuwa wana siasa watamruka kama ambavyo IGP wa Uganda Kale Kayihura ameachwa apambane peke yake na Museveni.
Baada ya JPM kutoka lazima Mambosasa na Bashite aka Paul Makonda washitakiwe ICC kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu
Nina ushauri kwa RPC wa Kanda Maalum Lazaro Mambosasa. Kwa dalili zote jina la 2 litakalo kuwa blacklisted na Mike Pompeo ni Lazaro Mambosasa. Nina sababu kama 2 au 3.
(1) Mambosasa alikuwa ndiye RPC wa Dodoma wakati Tundu Lissu anashambuliwa, na kwa aliyoyafanya akapewa kanda Maalum kama shukrani.
(2) Mambosasa amekuwa akitumika kama dodoki na Paul Makonda katika kutelekeza udhalimu wote kama vile tukio la Mo Dewji, Azory Gwanda, utekaji wa akina Bollen Ngeti, Tito Magoti, Eric Kabendera nk.
Ushauri:
Kwanza atambue kuwa wana siasa watamruka kama ambavyo IGP wa Uganda Kale Kayihura ameachwa apambane peke yake na Museveni.
Baada ya JPM kutoka lazima Mambosasa na Bashite aka Paul Makonda washitakiwe ICC kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu