Mambo ya kichokoHabari zenu wakuu,natumaini mna afya njema kabisa na tunaendelea vizuri na mfungo.
Sasa hapa naomba tutaje vitu vyote visivyoacha watu salama maana naona vimezidi sasa tuvimalizie hapa ili tuachane navyo.
Kwa kuanza,KUTOKUA MAKINI UKIENDESHA VIFAA VYA MOTO HAVIKUACHI SALAMA!!!!
Karibuni
Hahaaaa umetisha mkuu.House Girl/Boy.....
Mke/Mume wa mtu...
Madawa ya kulevya....
Vyeti Feki......
Masturbation.....
Not even troubled, kwa sababu Sir God tunayemwabudu sisi anaanzaga na capital M huyo wa kwako ndio anapendaga uzinzi..Stupid ,,,mungu wanafki Kama nyinyi huwa hawaachi
hahahaeverywhere anywhere
Yeah mkuuDaah kakaa ataa Puchuu??
Weeee wacha we naweza kupataPapuchi, papuchi haijawahi kumuacha mtu salama