Mambo yanayoudhi humu jamvini

Umesema yote hny,

hope u good dia

am good just missing u.

1.Mtu akipost thread hata kama ya msingi kuna baadhi ya members wanaigeuza kuwa genge la kunywa kahawa
mf:kupiga story tofauti na mada husika lengo la thread mpaka linapotea
2.Watu hawaheshimu mawazo ya watu;Mfano,ooh umepost upupu,unawaza kwa kutumia organ ya mwili,umetumwa e.t.c
3.Thread imenoga,jinsi unavyochangia ndo jinsi PM zinavyoingia mpaka browsing inaenda slow.
4.wengine wanatumia ufupisho wa ajabu mpaka unashindwa kuelewa,mf.sasa anaandika xaxa,sisi anaandika cc.
5.Huku ukieleza kuhusu facebook utapondwa ila 99% wanazo account za facebook.
6.Members wapya wanajua kila jukwaa,wanawajua members wa siku nyingi wanaochangia mada na mbinu za kuwafuatilia.
7.Mtu anapost thread halafu haonekani tena na hujui hata kama ameridhika na ushauri au majibu.
8.Watu wataponda kuhusu thread uliyopost but hawaachi kuchangia,kama wamelazimishwa vile kuponda wengine.
9.Kutafuta ban makusudi ili ujulikane humu

ongezea na mengine yanayokukera
:juggle::juggle::juggle::nerd:
 
ni kero kubwa sana...mim hukerwa hata kwenye simu yananikwaza, kwanini mtu usiandike neno linaloeleweka. hayo maneno ya mkato mkato tuwaachie watoto wa shule wanataka kuonyesha kwa wenzao utaalamu na ujuzi wa kufupisha

Xaxa, cc, ww, dem, 2mbili, vp, cimu, sim (simu), 2nda, mm,nn,ccmizi, cjui,co,ka2ma,. . .
 
  • Thanks
Reactions: JS
Busy for nothing wangu, nakimbiza upepo lol! Sasa usiwe unaudhika tena, full kujiachia hapa, ur mamma is not watching hahaha
hapa kujiachia tu,ila mi daddy yupo humu but hanifahamu,ila najiachia
 
Back
Top Bottom