Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
- Thread starter
- #81
dah inaboa sanani kero kubwa sana...mim hukerwa hata kwenye simu yananikwaza, kwanini mtu usiandike neno linaloeleweka. hayo maneno ya mkato mkato tuwaachie watoto wa shule wanataka kuonyesha kwa wenzao utaalamu na ujuzi wa kufupisha