Mambo yameharibika

Mambo yameharibika

Mi sio malaya sema nina bahati mbaya..
Ibirisi alikuingiaje mpaka ukafanya ulilolifanya? Je, angekuwa na ugonjwa si ungesambaza kwa huyu wa ndani? Najua nitashambuliwa na wanaume ila mimi kama mimi nikipenda ni huyo huyo basi.
 
super, ila take care of them. don't assume responsibilities.
Na kama huo ndio uzao wako wa kwanza, be very careful. Pia kuwa mwangalifu na hao kina mama, heshima yao na hisia zao tunza vizuri, vinginevyo pia inaweza kuwa mwanzo wa kuharibu maisha ya ndoa baadae.

Ahsante
Ahsante sana Mkuu kwa ushauri najitajidi kadri ya uwezo wangu lakini huyu niliyemsaliti she wants to push me out from my kid ... it’s like kind of revenge
 
Tafuta mzee mwenye busara aka apologise kama atakuwa akuelewi akiwa anafanya hivyo jaribu kuwa karibu nae kwa kumpigia huku hukiwa kama unajutia kosa lako Husitafute mwanamke mwingine kwa kumkomoa itakutesa sana siku za mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ibirisi alikuingiaje mpaka ukafanya ulilolifanya? Je, angekuwa na ugonjwa si ungesambaza kwa huyu wa ndani? Najua nitashambuliwa na wanaume ila mimi kama mimi nikipenda ni huyo huyo basi.
My dear sister... nilijuta tangu siku ya kwanza na nikasema sitarudia tena ... kumbe bora ningefanya iwe siri tu asijue
 
Tafuta mzee mwenye busara aka apologise kama atakuwa akuelewi akiwa anafanya hivyo jaribu kuwa karibu nae kwa kumpigia huku hukiwa kama unajutia kosa lako Husitafute mwanamke mwingine kwa kumkomoa itakutesa sana siku za mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kutafuta mwanamke mwingine kwa sasa hivi sina hiyo courage wala uwezo ... Bado nampenda sana
 
Ahsante sana Mkuu kwa ushauri najitajidi kadri ya uwezo wangu lakini huyu niliyemsaliti she wants to push me out from my kid ... it’s like kind of revenge


well and good, hasira, kuwa mpole na nyenyekea kwa sababu ushaharibu. give it time pia. Usiharakishe kupata approval. uache moyo ukauke vidonda, usimsumbue wakati vidonda bado vibichi.
 
My dear sister... nilijuta tangu siku ya kwanza na nikasema sitarudia tena ... kumbe bora ningefanya iwe siri tu asijue
Pole sana nimetumiwa clip moja wanasema eti wanawake tudange maana hakuna mwanamme ambaye anatulia. Eti mwanamme wa mke mmoja hajazaliwa. Naweza amini au siwezi sababu mpaka yanikute. Lea watoto na jaribu kutulia na save as much as you can maana utahitaji kuwatunza hao viumbe. Kuwa na msimamo usipelekeshwe kwa matumizi ambayo yanazidi kipato chako.
 
Aisee,watoto wengi sana humu ungekutana na mikasa ya kupigwa mitama na mabwana wa mkeo we si ungejaza post kila mahali humu.
Komaa we mwanaume wa dar ukahamia mkoani
 
Huyu jamaa kweli popoma,
Uwongo mwingi hadi anachanganya mafaili
Ameniudhi sana, dada wa watu kajitunza lakini hakuona thamani yake. Seriously ukakeshe na mwanamke mwingine bila hata kinga?!
 
Ni kweli umenyea kambi na umechafua kweli kweli.
Wewe ni mwanaume huwezi kushindwa kitu mrudishe shemeji, jishushe na akirudi hama mnakoishi na ubadili life staili, wahi kurudi nyumbani, uwe jentomani, mjali kwa upya atalegea tu.
Ukishindwa kabisa nicheki kwa mbinu za kiwango cha juu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijari mkuu mpaka mwaka 3020 time travel itakua tayari, nitakuja kukutaarifu usiharibu.
 
Time Heals almost everything. Give it more Time brother...
Ndio Maisha na ndio uanaume pia, 25 - 40 yrs ukitoka salama bila mishike mishike ya Mapenzi/ Misukosuko ya Maisha, basi jua Una Bahati sana... otherwise Tukiwa wazima, Basi Tunafanya/ kucontrol yale tunayoyaweza.
 
Back
Top Bottom