Mambo yameharibika

Mambo yameharibika

Komaa na huyo virgin girl mpaka akuelewe.Kosa umefanya ww so mpe muda.Lazima uipe situation muda ili kuweza kurdisha hal ya mwanza.Haiwezekan upumbavu ufanye ww halaf tena ww ndio uwe determinant wa kurudisha hali kama awal tena kwa ku force.Hapana.

Mpe wife time huku ukim bembeleza sanaaa na kuomba radhi huku ukionyesha kujutia kabisaa ulichofanya.Anaweza akakuelwa.Asipokuelewa pia ni haki yake,muache aamue vile yy anaona ni sawa kwake.

Halaf inakuaje unakua mjinga kiasi cha kuruhusu mistake ya kwanza (unplanned & unprotected sex) ikuongoze kwenye mistake ya pil (mimba).
Kwann within 72 hrs hukuamua kumshawish huyo single maza muondoe posibility ya hiyo mimba???
 
Singo mama kaongeza mtoto, bikra naye kawa singo mama! Wewe sasa una watoto wawili. Hongera sana, tulia lea watoto wako.

Happy New year
Masikini bado mvulana hajui kilicho mbele yake! Ni MATESO hakuna mfano, singo mama mzoefu anacheza karata, bikra yeye ndo anaingia hii gemu akizinduka jamaa ataomba akafilie mbali. Fanya ufuska ila mtoto ni habari nyingine. Niishie hapo
 
Masikini bado mvulana hajui kilicho mbele yake! Ni MATESO hakuna mfano, singo mama mzoefu anacheza karata, bikra yeye ndo anaingia hii gemu akizinduka jamaa ataomba akafilie mbali. Fanya ufuska ila mtoto ni habari nyingine. Niishie hapo
Atapambana na khali yake tuu, jukumu la kulea sio la kitoto!
 
Atapambana na khali yake tuu, jukumu la kulea sio la kitoto!
Usinikumbushe Mkuu, mtoto ni habari nyingine. Hata hutaki kuonana na mama yake, utajikuta mnaonana kwa sababu ya mtoto. Akienda shule ndo kivumbi na jasho. Ningekuwa na uwezo ningeliwakataza wavulana kuzaa ovyo maana mateso hayatamaniki
 
Shits happens bro, Those are yours , Dont run 🏃‍♀️, Overcome, Lea watoto wako , Mpe muda Shemeji ,wakati anautumia mda wake Usisahau kumjulia hali , Atapona ,
 
Mmoja kawa single mother, mwingine kawa double mother na yeye double father.
 
Back
Top Bottom