Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Jana kuna vijana kama wanne walikuwa na tiketi za VIP B,lakini wao wakataka kuingia VIP A,polisi wakawakatalia,jamaa wakaanza vurugu za hapa na pale,lakini wakatolewa kwene lile eneo la VIP A,baadae wakaongea na simu kwa RZ1 ,then ile simu akapewa yule polisi aongeee nao,yule polisi akaona ishakuwa ishu ikabidi ampe Kamanda KOVA aongee na ile simu, Baaada ya muda KOVA akatoa amri kwa yule polisi akisema basi waache waingie tu hapo VIP A!Hayo ndio mambo ya RZ1 BANA,Tunasubiri baba yako amalize huo URAISI hapo 2015 uone cha moto!