CHANG'OMBE
Member
- Jul 22, 2012
- 19
- 6
Habari wanajamii
Mwenzenu naleta hoja hii. Inanihusu mimi mwenyewe na simzungumzii mtu mwingine kama ilinavyofanywa na wengine.
Nina mke na watoto, kwa muda mrefu tuliishi vizuri japo mikorogano midogo midogo haikukosa. Lakini mwaka huu mwenzangu kabadilika sana na nimeingiwa na hisia kuwa huenda kuna mahali mama watoto ana-cheat.
Kwa kawaida tukishaoga usiku asubuhi yake huwa haogi mwili mzima lakini usiku wa juzi kwanza alijifanyia usafi akafyeka NYWELE ZAKE kila mahali zilipo ukiondoa za kichwani (NADHANI NAELEWEKA). Jana kaamka saa 10.00 alfajili akaenda nje kuchemsha maji ili aoge (hii siyo kawaida yake).
Mimi nilibaki ndani kwa muda lakini alipoingia ndani akakuta najiandaa kutoka nje akasema nibaki ndani kwanza yeye atakuja kunistua muda mwafaka ukifika - huenda alitaka aoge na kujufuta maji mwilini huko huko nje bila mimi kujua. Alioga hivyo hivyo na kujipuliza pafyumu nzuri nzuri, kajivika cheni za dhahabu, lipstick, nk tofauti na nilivyomzoea. Kama kawaida tuliongozana kwenda kazini japo hatufanyi kazi sehemu moja.
Jana jioni au tuseme usiku kuna shughuli nilikuwa naifanya nje, akaja kuniuliza eti nafanya nini kwa kuwa yeye alitaka kulala, hapo chakula cha usiku (dinner) hakijaliwa bado. Lakini nilipoenda dinning yeye alikuwa anahangaika na simu yake tu.
Wazoefu wa mambo haya mnijuze tafadhalini. Je kwa mazingira hayo yawezekana tayari kuna mahali amepata 3rd party?
KILA MARA MWENYEWE HUDAI KUWA YEYE NI MSAFI SANA NA KWAMBA KAMA NI KUCHEAT LABDA ITAKUWA MIMI NDIYE NAMCHEAT NA SIYO YEYE, LAKINI NYENDO ZAKE ZINATIA WALAKINI.
Mwenzenu naleta hoja hii. Inanihusu mimi mwenyewe na simzungumzii mtu mwingine kama ilinavyofanywa na wengine.
Nina mke na watoto, kwa muda mrefu tuliishi vizuri japo mikorogano midogo midogo haikukosa. Lakini mwaka huu mwenzangu kabadilika sana na nimeingiwa na hisia kuwa huenda kuna mahali mama watoto ana-cheat.
Kwa kawaida tukishaoga usiku asubuhi yake huwa haogi mwili mzima lakini usiku wa juzi kwanza alijifanyia usafi akafyeka NYWELE ZAKE kila mahali zilipo ukiondoa za kichwani (NADHANI NAELEWEKA). Jana kaamka saa 10.00 alfajili akaenda nje kuchemsha maji ili aoge (hii siyo kawaida yake).
Mimi nilibaki ndani kwa muda lakini alipoingia ndani akakuta najiandaa kutoka nje akasema nibaki ndani kwanza yeye atakuja kunistua muda mwafaka ukifika - huenda alitaka aoge na kujufuta maji mwilini huko huko nje bila mimi kujua. Alioga hivyo hivyo na kujipuliza pafyumu nzuri nzuri, kajivika cheni za dhahabu, lipstick, nk tofauti na nilivyomzoea. Kama kawaida tuliongozana kwenda kazini japo hatufanyi kazi sehemu moja.
Jana jioni au tuseme usiku kuna shughuli nilikuwa naifanya nje, akaja kuniuliza eti nafanya nini kwa kuwa yeye alitaka kulala, hapo chakula cha usiku (dinner) hakijaliwa bado. Lakini nilipoenda dinning yeye alikuwa anahangaika na simu yake tu.
Wazoefu wa mambo haya mnijuze tafadhalini. Je kwa mazingira hayo yawezekana tayari kuna mahali amepata 3rd party?
KILA MARA MWENYEWE HUDAI KUWA YEYE NI MSAFI SANA NA KWAMBA KAMA NI KUCHEAT LABDA ITAKUWA MIMI NDIYE NAMCHEAT NA SIYO YEYE, LAKINI NYENDO ZAKE ZINATIA WALAKINI.