Mambo ya ndoa: Yawezekana naibiwa?

Mambo ya ndoa: Yawezekana naibiwa?

Haha haha utapata dhambi tu kwa kudhani, FYI, I am not Salma sijui nikwambia mara ngapi.
Kumbe dhambi kudhani dhani wazungu si ndo wanasema suspicion kwa hio anaye mchunguza mke wake mpaa kwenye simu zake anaitwa nani.


Unajua wewe huwezi kukubali kama jina lako hilo :biggrin1:

Afu bora niwachane na wewe, mana mwanaume kubishana na mwanamke anajishusha thamani, wengine hatuna time ya kubaki tunabishana na chupi :yo:
 
du! yan kuoga na kujipulizia marashi ni kigezo cha kucheat!!!!!!!!!!! wivu mwingine bhana kazi ipo
 
Kumbe dhambi kudhani dhani wazungu si ndo wanasema suspicion kwa hio anaye mchunguza mke wake mpaa kwenye simu zake anaitwa nani.


Unajua wewe huwezi kukubali kama jina lako hilo :biggrin1:

Afu bora niwachane na wewe, mana mwanaume kubishana na mwanamke anajishusha thamani, wengine hatuna time ya kubaki tunabishana na chupi :yo:

Si baada ya kukwambia mwanaume wa maana habishani na mwanaume, wewe si **** tu.
 
Si baada ya kukwambia mwanaume wa maana habishani na mwanaume, wewe si **** tu.
Sasa na wewe umiesha kuwa mwanaume kazi ipo, utajigeuza kila rangi....afu wapi umeniambia wapi hayo maneno mbona siyaoni.
 
Sasa huyu mwanamke mzima kushindwa kufanya utaratibu akapata maji ya moto akayaoga kila siku asubuhi je, anashindwa nini? Siku akioga baada ya lunch si atapewa talaka kabisa? Usafi ni karma aisee.

Hii leo ndiyo nimesikia...........mtu haogi asubuhi? kama mimi hata kazi haiwezi kufanyika, tena lzima nioge maji baridi hata nikiwa Arusha au Njombe ya moto mwiko
 
duh,aisee mkeo mchafu,asbh pasport size?hilo ndio kosa lake pekee,mengine hayo ni wewe unadai,bado mapema sana
 
no data no right to say.............................................fanya uchunguzi mze
 
Hivi hujui kwamba na waganga wa kienyeji wateja wao wakubwa ni wanawake? kama amepewa dawa za kuoga kwa masharti wewe utajuwaje? leave her alone, mke ni wa kukupa kampani tu ya kimaisha na sio something to take so serious. ndio maana wanaitwa HAWA.

Haya tena makuuubwa Matola
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh! Yahitajika busara sana kutatua hilo jambo! Kwanza kabisa wewe usimuulize, mlie cobis tu, wala usioneshe kuwa una wasiwasi nae, ila kumuumiza roho na kumfanya roho imsute wewe mkumbushe jinsi gani unapenda sana na hutaki kumpoteza! Mweleze unavomthamini na alivo wa muhimu kwako kila mara. Ila at the same time fanya uchunguzi wa kina wa matukio yake, mpitie kazini bila taarifa mda kutoka mwambie muongozane home ( Kama ana kidate utaona atavojitahidi kukukwepa) chunguza chunguza tu taratibu kwa mda, ili upate uhakika na wkt huohuo umpe mda wa kutambua mistakes zake, huenda akajirudi. Unaweza kuta nae yamemkuta kama yangu ana crash kwa bosi wake mpya! LOL! Ila akizoea utakuta anajielewa na kurudisha heshima na upendo zaidi. Cheating inahitaji roho ya chuma! Wengi wanajaribu wanahcemsha!
mi si nishasemaga nakupenda!acha tu!i fall in love with yu the very day i set my eyes on u!well said lara ,nashangaa sana mamako hajui hili jinsi ulivyo na maakili ya ushauri!
 
Mpe muda wa kulichunguza hili jambo, dalili zipo lakini sio strong enough to make conclusion. Mlie chabo hasa hizo simu, hasa ukipata muda muafaka jaribu kusoma txt zake au incoming and outgoing calls.

Unaweza hata ukaweka siku umfatilie nyenendo zako baada ya kazi.

Kama unamoyo mgumu edit kweny jina unaloitilia mashaka weka namba yako!
 
Back
Top Bottom