Mambo ya muduara nigh Nyumbani Lounge JANA

Mambo ya muduara nigh Nyumbani Lounge JANA

Na ndio maana Mchambuzi.... IMO mwanaume wa kweli anajua limit ya kiasi cha pombe ambacho kinamfaaa..... Hio picha ni aibu kwa kweli, hua nawaponda saana watu wanaoponda watu maarufu kwa mistakes za mastaa, But this is beyond na naungana na hio group.

Do you mind nikikuuliza kitu?
uliza swali lako usihofu.
 
Kibonde ARV zimemkubali
IMG_1717.JPG

Ulimpima??
 
Globalpublisher kuibuka na kichwa cha habari gardner ahisiwa ...........
 
Sasa huyo dada wa kwanza alikosa kabisa bra inayoweza kusanya maziwa yote sehemu moja? Au akishaonyesha clivage basi anadhani huko kwingine hakuonekani!!!?
 
hahahaha.... Mopaozi are you saying Habbash hio picha ughaibuni itatuletea mapato kwa taifa? lol (God Forbid!)
Tatizo letu Waswahili hatujui kwamba Wazungu huwa hawaropoki, wakiongea kitu basi ujue wamefanya research ya kutosha, ni kwamba David Cameroun reliable source zake zilimpa taarifa za uhakika kwamba kuna magay wa kutosha kwenye hizi nchi zetu ila hawana uhuru, ndio msingi wa kauli ya Cameroun.
Kama kusoma hujui basi hata picha huoni? tunawafahamu vijana wengi tu mjini wanaoshikishwa ukuta kwa tamaa za kumiliki vigari mbuzi GX 100.
 
Tatizo letu Waswahili hatujui kwamba Wazungu huwa hawaropoki, wakiongea kitu basi ujue wamefanya research ya kutosha, ni kwamba David Cameroun reliable source zake zilimpa taarifa za uhakika kwamba kuna magay wa kutosha kwenye hizi nchi zetu ila hawana uhuru, ndio msingi wa kauli ya Cameroun.
Kama kusoma hujui basi hata picha huoni? tunawafahamu vijana wengi tu mjini wanaoshikishwa ukuta kwa tamaa za kumiliki vigari mbuzi GX 100.



Matala issue sio kwamba watu hawapo... Issue ni kwamba asmuchas kilo kizuri ama kibaya kinafafanuliwa na jamii husika.... At the moment "Ushoga" Tanzania kwa ujumla inachukuliwa na uchafu, tabia mbaya na ya kukemewa kabisa. Hivo basi kukataa/pinga matakwa ya Cameroon sio kwamba hatuna hao watu.. Lah! Bali tu ni kama kuepusha kuongeza idadi ya hao watu katika jamii... Hatujui what the future holds for us na swala la Ushoga litakua chronic kiasi gani, ila tu ni muhimu kwa sasa isihalalishwe.... Mwishowe tutakosa wanaume ambao kweli ni WANAUME katika jamii... What a threatening scenario.... Dah!
 
Am taking it for granted you have watched "The God Father"... I am curious... Have you read/watched "The Last Don"
Aisee zote god father na last don nilianza kwa kitabu then movie, ila books ndo pouwa kuliko movie. Mario Puzo is the best aisee.
 
Pamechoka sana,hata huduma ziko hovyo tofauti walivyoanza.Viti vimeanza kufumuka service duni hasa vyakula.Nilimuambia muhudumu vitu vya kubadlisha na huduma kuwa duni,kadri siku zinavyozidi wateja wanapungua sana.

Mkuu uliwezaje il hali u domo zege lol:lol:
 
Mie naona kama jamaa wa pembeni alikuwa anataka kumhug ila gadner akawa kama haoni na ndio maana ikatokea hivyo....ukitafakari vyema utagundua kuwa picha ambazo huwa zinapigwa na mhusika/wahusika wapo kwenye motion huwa zaweza leta maana fulani....tofauti na zile ambazo watu wameweka pozi la picha....
 
Sasa huyo dada wa kwanza alikosa kabisa bra inayoweza kusanya maziwa yote sehemu moja? Au akishaonyesha clivage basi anadhani huko kwingine hakuonekani!!!?

Lizzy....nadhani hakukosa..alifanya makusudi...anadhani bado na yeye 'wamo'
 
Aisee zote god father na last don nilianza kwa kitabu then movie, ila books ndo pouwa kuliko movie. Mario Puzo is the best aisee.



Good! Natafuta wadau wa God Father... Nataka nifungue Thread in the Future.. a discussion on him na his works.... Lakini kupunguza kiu ya Opinions ulizo nazo juu ya jamaa na kazi zake. Ni mhusika gani wampenda in The Last Don?
 
Yes Love I said It.....you know my standards ooh:tongue:



hahaha.... I think it is time you stop being naughty and find another attribute... Naughtiness is making you mean hun':eyebrows:
 
Back
Top Bottom