Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 17,306
- 19,822
- Thread starter
- #321
Good sana hii mkuu..Ukotoboa kimaisha wakumbuke waliokushika mkono kufika hapo ulipo wasaidie nao pia wavuke ikiwezekana wasaidie wakiwa huko huko makwao kuepusha makwazo ya hapa na pale