Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Hapana mkuu najua kuwa sote tu imperfect, ila watu wameanza jiuza humu JF

mkuu wa humu si ndio sie sie wa mtaani?....na mleta thread kasema kaitoa mahali hii story,kwahiyo yawezekana alieweka huko na hapa pia yumo!
 
Hapana mkuu najua kuwa sote tu imperfect, ila watu wameanza jiuza humu JF

Boss kunamahali imeandikwa kua inauzwa k kwa nayetaka anipm au unamba imetolewa!!!!!! kwenye hii post!!!!!
 
km hujui dalili za mkeo kufika kileleni pole mtaishiwa kuchakachuliwa hivyo hivyo
 
kifupi ni kwamba huo mchepuko ukifilisika atahamia pengine---KAHABA.
 
cc12

Mmeanza kukopi na, jf MMU mnakuwa lazy thinkers. Hayo maelezo mtu kaweka kama anonymous kwenye blog ya sintah Mrs. Nature mstaafu nashangaa we utaishiwaje nguvu wkt inawezekana ni kurusha roho tu za watu

wew umekwisha kuona ila kuna weingine hawajaona ndo maana nimeweka ila kama ujapenda So Sory....
 
wew umekwisha kuona ila kuna weingine hawajaona ndo maana nimeweka ila kama ujapenda So Sory....

Mbona unajibu mara mbili mbili comment moja, umepanic na nini? Si nimekwambia samahani sikujua?
 
Mbona unajibu mara mbili mbili comment moja, umepanic na nini? Si nimekwambia samahani sikujua?

Hapana sijapanic nafikiri hawa developer wa jf watakuwa wameninofy vibaya siwezi kupanic mkuu
 
huyo dada elimu anayo lakini hajaelemika ........amejieleza kwamba kabla ya ndoa walikula bata sana huyo muhaya wake baada ya ndoa kajifanya haelewi kitu huyo mchepuko wake naye ipo siku atakuwa kama muhaya.......avunje kimya kwa hisani ya watu wa marekani kwa kumweleza kile anachotaka kutoka kwa mume wake kama yupo serious na ndoa yake afanyiwe kama ilivyokuwa mwanzo la sivyo aendeleze michepuko yake
 
Wewe sio mzima nina uhakika 100% alafu hata kama unafanya masters una elimu lakini haujaelimika na hautaelimika kamwe. Na wasiwasi na wewe shule zimefungwa.
 
Okay Cc 12 Mwanzo nilijua no wewe kumbe sio wewe. Huyo dada hajiel
 
Okay Cc 12 Mwanzo nilijua no wewe kumbe sio wewe. Huyo dada hajiel


Haahahahaha SMH lol nakwambia napigwa madongo mazito mazito afadhali hata wew umeona mwingine kanijia Inbox anataka Mgegedo akati mim Me lol
 
Back
Top Bottom