Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Siwezi kumlaumu huyu dada, "kisa mkasa" hiki ni ushahidi au ni picha yenye kaonyesha jamii yetu ni ni jamii ya aina gani. Jamii yetu imejaa watu wasiojitambua na wasiopenda kuyakabiri matatizo. Kama msomi wa kiwango cha shahada ya uzamili ana fikra za hivi tutegemee nini. Pamoja na kuwa na kazi fikra zake yeye ni kuhongwa. Mtu wa aina hii atakataa vipi kutoa "pete" kama mwombaji ana pesa. Ndio maana mabinti na madada wengi mmejigeuza kuwa vyombo vya starehe badala ya kuwa "Mama". Siku zote nguvu ya mwanamke ipo kwenye ushawishi ndio maana wote tu mashahidi kwa yaliyomkuta Samson kwa Derira. Unashindwa vipi kutumia ushawishi "kumshape" mumeo ktk namna uipendayo.

Sikuioni kitufe cha like lakini umemaliza yote. Huyo shoga yangu ni bure kabisa. Alikuwa na nafasi ya kumshswishi mume wake afanye anavyotaka yeye badala ya kukimbilia mchepuko. Matatizo hayakimbiwi, matatizo unakabiliana nayo tu. Na tena huyu hata maana ya ndoa haijui, hapo alipo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje.

Ujinga mtupu kutoka kwa mwanamke asiyejitambua.

Tiba.

Tiba
 
huyu ni msomi akili zake ndo vko hv cjuh angekuwa darasa la 7 ingekuwaje?
 
Kwa mtindo ndoa nyingi zitavunjika.Na hii tamaa ya hela itasambaratisha ndoa nyingi.
 
Mtoa mada wa aina hiyo wapo wengiiiii wengine tulishindwa tukaamua kuachia ngazi! Mchepuko si jambo jema ingawa kuachana nalo si jambo jema.
 
Khaaaaaaaaa!!!
Hujui tafsida wewe unaropoka tuu utadhani soro
 
Cyo makosa yako mae ila kuna wanaume n shda yan unaeza mtia teke la mbele kha yan wanaboa
 
Back
Top Bottom