Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Mambo ya michepuko haya unaweza kufariki

Perfect kabisa lakin akili hana alafu anachukua masters elimu haijamkomboa kabisa huyu

Kwani elimu ni nn kaka.
Kama mtu ni malaya.mwizi.muongo.mmbeya.mgomvi.mbinafsi.mlafi.mpenda ngono.shoga.msagaji na tabia zingine kwani elimu inaziondoa jamani.
Elimu ni mtu anapata mafunzo fulani k.v kuendesha gari.ndege.kutibu watu.kujenga.kuingoza watu.kutunza kumbukumbu au mwalimu afundishe watu ila tabia za kibinadamu bado anazo rafiki yangu.

Tatizo kuna watu wanakuwa na elimu na wanajiona kama wao ni malaika la hasha ushenzi hata wa kibinadamu mtu anao hata wavuta bangi wagomvi na mateja wapo pia hata wacha Mungu na watukuza shetani na raia kwa sangoma wanaenda na elimu zao.
So usishangae kuwa elimu ukamfanya akawa malaika eti wa kuigwa na jamii au msanij kioo cha jamii wenyewe wanakataa.mie ndo mtazamo wangu
 
mmh mahusiano ya kizazi hiki ni kama tunajiandaa Ku act porn films siku zijazo sorry to say this
 
siwezi kumlaumu huyu dada, "kisa mkasa" hiki ni ushahidi au ni picha yenye kaonyesha jamii yetu ni ni jamii ya aina gani. Jamii yetu imejaa watu wasiojitambua na wasiopenda kuyakabiri matatizo. Kama msomi wa kiwango cha shahada ya uzamili ana fikra za hivi tutegemee nini. Pamoja na kuwa na kazi fikra zake yeye ni kuhongwa. Mtu wa aina hii atakataa vipi kutoa "pete" kama mwombaji ana pesa. Ndio maana mabinti na madada wengi mmejigeuza kuwa vyombo vya starehe badala ya kuwa "mama". Siku zote nguvu ya mwanamke ipo kwenye ushawishi ndio maana wote tu mashahidi kwa yaliyomkuta samson kwa derira. Unashindwa vipi kutumia ushawishi "kumshape" mumeo ktk namna uipendayo.

Kaka hakuna usomi kwenye kulondomola ata ma profesa wanachepuka, apo inaonekana jamaa mvivu alafu mchoyo ndio maana mtoto wa kike kaamua kutafuta kazi ya nje
 
Kwani elimu ni nn kaka.
Kama mtu ni malaya.mwizi.muongo.mmbeya.mgomvi.mbinafsi.mlafi.mpenda ngono.shoga.msagaji na tabia zingine kwani elimu inaziondoa jamani.
Elimu ni mtu anapata mafunzo fulani k.v kuendesha gari.ndege.kutibu watu.kujenga.kuingoza watu.kutunza kumbukumbu au mwalimu afundishe watu ila tabia za kibinadamu bado anazo rafiki yangu.

Tatizo kuna watu wanakuwa na elimu na wanajiona kama wao ni malaika la hasha ushenzi hata wa kibinadamu mtu anao hata wavuta bangi wagomvi na mateja wapo pia hata wacha Mungu na watukuza shetani na raia kwa sangoma wanaenda na elimu zao.
So usishangae kuwa elimu ukamfanya akawa malaika eti wa kuigwa na jamii au msanij kioo cha jamii wenyewe wanakataa.mie ndo mtazamo wangu

Elimu inakukomboa kutoka kwenye ujinga mana bila hata ya hiyo elimu tusingejua what is Jf au maisha sasa ukija kwenye uhalisia watu ndo wanatumia vibaya elimu zao kama unavyosema wew kwenye mambo ya kuringa na mengineyo.As far kwa mim naona imenikomboa kutoka kwenye kundi nilikuwepo mwanzo na nilipo sasa najua hichi kibaya hichi.labda nikuambia elimu sio ile unayopokea tu darasani hata ya maisha kawaida nayo yana elimu yake mkuu sasa bila ya kuwa na shule kidog maisha ya sasa duuh ni msala mkuu
 
kaka hakuna usomi kwenye kulondomola ata ma profesa wanachepuka, apo inaonekana jamaa mvivu alafu mchoyo ndio maana mtoto wa kike kaamua kutafuta kazi ya nje
Nadhani wengi wetu hatuelewi maana ya "usomi", Mwanafalsafa Plato alianzisha chuo kikuu cha kwanza na kutoa elimu akiwa na lengo la kuwafanya watu wafikiri kwa mantiki (to reason). Sasa msomi ambae akili yake imeganda ktk kuhongwa huyo nadhani "ha-reason". Lakini kilichonisitua ni ile hali ya kuwa mnafiki. Kulikoni kumvizia mumeo eti ukimaliza kusoma na kujipanga utamwacha si bora kumwambia ukweli kama Ana kitu cha kufanya kuiokoa hali hii afanye na kama ikishindikana basi kila mmoja akamate njia yake. Ndio maana nawafagilia "wazungu" ktk maamuzi yao. Hakuna unafiki, hakuna kudanganya kama penzi limefika tamati na hakuna jinsi basi ni kuandaa sherehe ya kuagana na kila mmoja kushika njia yake.
 
Ahaaa, kumbe ndo unafanya hayo eeh! Nashukuru umejinasa mwenyewe humu jf. Ulidhania simo humu? Ngoja nikirudi nyumbani leo utanitambua.
 
malaya ni malaya tu!kama huridhiki au una style au kitu unachokipenda wakati wa sex si useme tu!
huyu malaya hachepuki kwa sababau ya kukosa kipondo!ni muuza ngozi tu kwakuwa katika maelezo yake yote inaonyesha yeye anapenda pesa tu
malaya mbwa
 
Huwajui wanaume ww! huo mchepuko unakutumia kwa kuwa upo kwa mumeo nenda jumla jumla uone kama haujakutoa nduki ukabakia kuwa gume gume la mitaani kila mtu anajipigia
 
Ndio maana mnaliwa pete kila siku. Huko michepukoni wanaume hawana mzaha, anakupa kila unachotaka--> na wewe utampa kila anachotaka, mtaliwa macho hadi mkome!!
 
Ndio maana mnaliwa pete kila siku. Huko michepukoni wanaume hawana mzaha, anakupa kila unachotaka--> na wewe utampa kila anachotaka, mtaliwa macho hadi mkome!!

Speaking out of experience eti baby!!
 
Kama hakuridhishi omba talaka utoke kabisa ili usije muuwa kwa magonjwa ya zinaa, na huyo anayekuridhisha mwambie akuowe.don't pretend on love.
 
Speaking out of experience eti baby!!


My atoto...sina mchepuko, I'm very loyal to my love you know! Katika kupiga story na wenye michepuko, nilikuja kufahamu kuwa huko michepukoni most men wanakula pete..atakupa kila utakacho, lakini nawe utatoa kila akitakacho..!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom