Mambo ya kuzingatia wakati wa kutaka kula chakula: Kwanza, kiweke karibu nawe, pili, nawa viganja vyako kwa utaratibu, tatu, sema Bismillah, nne, anza kutonga matonge madogomadogo, tano, tafuna na umeze taratibu, sita, usiongee na watu, saba, ukimaliza kula subiri takika ishiriini na tano halafu uchukue kikombe cha maji unywe taratibu. Tukizingatia haya wana Jf tutakuwa wenye afya bora.