Mambo ya kuzingatia unapokutana na nyoka

Wee nawe unatuchanganya. Mara usimwangalie usoni Mara umkazie macho. Tusichoshane. Dawa ya nyoka ni kutoka nduki tu. Yeye mwenyewe atabaki anashangaa

Anatupoteza step huyu jamaa,eti uangaliane naye,weeeeeeee,mi sina urafiki naye ni do or die,nikiona mzigo mzito,mimbio sio ya nchi hii
 
Maana kuna mwendawazimu mmoja ashawahi mwambie mtu akikutana na nyoka aaingize kidole gumba cha mkono wa kulia sehemu ya haja kubwa. Eti hapo nyoka anageuza na kurudi alikotoka.
😁😁😁 we jamaa umenichkesha sana
 
Huu uzi unachekesha kichizi.. Eti umuone tu nyoka halafu umeme ukatike.. Balaa zaidi ukute umemuona mitaa ya mlangoni na wewe upo humo ndani na hakuna mlango mwingine wa kutokea. Nakuambia utaezua ceiling board utokee juu.. 🤣🤣🤣
 
1. Nyoka akitaka kukugonga kumuangalia au kutomuangalia hakutaleta tofauti.

2. Nyoka wana speed na accuracy wakati unajiuliza anataka kukugonga wapi anakua kashakufikia zaidi ya mara nne.

3. Nyoka hua analenga macho akiwa anarusha mate. Kobra hua na accuracy ya mpaka mita Saba. Koboko accuracy yake na speed no katika kuuma. Good luck trying to win staring competition.

4. Nyoka, mfano koboko hukua mpaka futi 8 kobra hufikia urefu huo pia. Hashim Thabit ana urefu wa futi 7. Pia koboko hupenda akiwa anashambulia awe anauangalia utosi wako kutokea juu, kwa urefu wake Hilo siyo tatizo, tatizo ni wewe kutaka umkodolee ili akimbie. Nyoka ni territorial kwamba ukiingia eneo lake atashambulia ili ajidefend lakini kobra na koboko hawana hizo ni watakufuata popote kikubwa wajue tu uelekeo wako.

5. Mtoto anaweza asishambuliwe na nyoka kwakua mtoto knows nothing about snakes, hatomshtua Wala kumbana bana, in short hatofanya nyoka ajione yupo at risk na anahitaji kujilinda. Ikitokea mtoto kamminya nyoka, nyoka hatosita kumgonga. Kuna kesi nyingi za nyoka kugonga watoto au kutaka kumeza watoto.

The only solution when you encounter snakes quickly turn into a honey badger.
 
Je wajua kuwa uwezo wa nyoka kuona ni 5% tu. yaani kwa lugha rahisi naweza kusema kuwa nyoka
hawana macho ila wana hisia kali sana na yale tunayoyaona kuwa ni macho ni kama pambo tu je unakubaliana na wenye hoja hii? Mimi nakubaliana nao kwa sababu zangu ninazojua.
Sababu zang ni kama ifuatavyo.
1.nyoka hata akilala hawezi kufumba macho.
2.nyoka hata wakati wa mvua hawezi kukwepesha macho. Mfano mzuri ni kenge au mambo umewahi kujiuliza ni kwanini mamba na kenge wakiwa nchi kavu mvua ikianza kunyesha tu wanakimbilia majini? Ni kwasababu wanakwepesha macho yao na mvua maana macho yao yamekaa sehemu mbaya kama mwenzao nyoka. Ila nyoka yeye wala hana habari.
3. Nyoka hana kope. Hvyo ni kweli macho yake hayafanyi kazi.
4. Ana uwezo mkubwa wa kuhisi umbo la kitu kuliko sifa za hicho kitu.
5.anauwezo wa kuhisi kishindo cha kitu mf. Sehemu tulivu kabisa jani likidondoka umbali wa mita 100 anauwezo wa kusikia hicho kishindo.
ILA hivo vitu vilivyo kama macho yale yanauwezo wa kumuonesha umbo la kitu ila sio uhalisia wa kitu.
Nyoka anaona Tena vizuri tu.

Kobra akiwa anatema mate anakua analenga macho. Wazia angekua haoni halafu ndiyo ajihangaishe kulenga macho.

Ule ulimi anaoutoa Kila mara (Jacobson) humsaidia kusense na mwanzo iliaminika nyoka haoni kwakua alikua anategemea Jacobson kumpa taarifa nyingi ambazo macho yangezipata. Ila hapana, ndani ya mita Saba kobra ni anakuona vizuri tu
 
Kuna Siku tuliona nyoka hawa wa kijani jamaa mmoja akataka kumwua nikamwambia achana nae hana sumu huyo.

Jamaa akasema nyoka ni nyoka tu walishalaaniwa Siku nyingi huko Eden,ukimuona popote piga kichwani afe.
 
Na kuna kesi nyingine za mtoto kumgonga nyoka. I meant kumuuma.

1. Nyoka akitaka kukugonga kumuangalia au kutomuangalia hakutaleta tofauti.

2. Nyoka wana speed na accuracy wakati unajiuliza anataka kukugonga wapi anakua kashakufikia zaidi ya mara nne.

3. Nyoka hua analenga macho akiwa anarusha mate. Kobra hua na accuracy ya mpaka mita Saba. Koboko accuracy yake na speed no katika kuuma. Good luck trying to win staring competition.

4. Nyoka, mfano koboko hukua mpaka futi 8 kobra hufikia urefu huo pia. Hashim Thabit ana urefu wa futi 7. Pia koboko hupenda akiwa anashambulia awe anauangalia utosi wako kutokea juu, kwa urefu wake Hilo siyo tatizo, tatizo ni wewe kutaka umkodolee ili akimbie. Nyoka ni territorial kwamba ukiingia eneo lake atashambulia ili ajidefend lakini kobra na koboko hawana hizo ni watakufuata popote kikubwa wajue tu uelekeo wako.

5. Mtoto anaweza asishambuliwe na nyoka kwakua mtoto knows nothing about snakes, hatomshtua Wala kumbana bana, in short hatofanya nyoka ajione yupo at risk na anahitaji kujilinda. Ikitokea mtoto kamminya nyoka, nyoka hatosita kumgonga. Kuna kesi nyingi za nyoka kugonga watoto au kutaka kumeza watoto.

The only solution when you encounter snakes quickly turn into a honey badger.
 
Nyoka anaona Tena vizuri tu.

Kobra akiwa anatema mate anakua analenga macho. Wazia angekua haoni halafu ndiyo ajihangaishe kulenga macho.

Ule ulimi anaoutoa Kila mara (Jacobson) humsaidia kusense na mwanzo iliaminika nyoka haoni kwakua alikua anategemea Jacobson kumpa taarifa nyingi ambazo macho yangezipata. Ila hapana, ndani ya mita Saba kobra ni anakuona vizuri tu
sijui kuhusu kobra lakini tafiti zilizofanyika kuhusu nyoka wengi ndo huo.
 
Nijuavyo mimi Wanyama wengi hawana tabia rasmi, ni baadhi ya tabia tu hujirudia rudia lakini tabia yao kuu ni kubaki kama Mnyama na kufanya unyama.

Mimi ni miongoni wale waliokuwa wameaminishwa kwamba si rahisi Nyoka akuvamie bila ya sababu, lakini nimeshakutana na matukio kadhaa Nyoka anatoka alipotoka na kumgonga au kujaribu kumgonga Mtu...huenda ikawa labda Nyoka huyo ameghafirishwa huko atokako nadipo akakutana na wewe akakuvamia, lakini sasa utajuaje na yeye hasemi?
Nijuavyo mimi Wanyama wengi hawana tabia rasmi, ni baadhi ya tabia tu hujirudia rudia lakini tabia yao kuu ni kubaki kama Mnyama na kufanya unyama.

Mimi ni miongoni wale waliokuwa wameaminishwa kwamba si rahisi Nyoka akuvamie bila ya sababu, lakini nimeshakutana na matukio kadhaa Nyoka anatoka alipotoka na kumgonga au kujaribu kumgonga Mtu...huenda ikawa labda Nyoka huyo ameghafirishwa huko atokako nadipo akakutana na wewe akakuvamia, lakini sasa utajuaje na yeye hasemi?
Mimi binafsi ilishawahikunitokea. Tulikua tunatembea kando ya mashamba na wenzagu 7 Mimi nilikua nyuma, gafla niliona nyasi zinalala lilikuja joka kubwa likanigonga mguuni Kisha likarudi lilipotoka. Bahati nzuri nilikua nimevaa kiatu cha ngozi ngumu sikupata madhara, siwezi kusahau hili tukio nilikua kidato cha Kwanza.
 
Unajua kama Nyoka wanapenda moshi wa Bangi? Akikukuta unapuliza MUKAKA hata kama alikuwa na mishe zake atakatiza safari yake atakaa uelekeo unakoenda moshi, apate mistari kadhaa ndio aendelee na mishe zake.
 
Jana baada ya kusoma huu uzi , leo mda huu yamenikuta kidogo nigongwe na nyoka , nmemkuta anajifukia mahala kwenye mlango wa choo , kabakiza nusu mwili na kichwa tunatazamana nmekimbia sm kadhaa ndio nikakumbuka kuna kushika mkono 😂 it worked ila wa kuua nyoka hakua mbali na sio kwamba alikua katulia sana anakua anatapa tapa na mm mshika mkono hali kadhalika natapatapa mara nishike mkono mara nishike ziwa😃.. Halafu nmekimbilia kwenye Shimo la choo kilichoanguka sio hata siku nyingi sijui ningezama kwa kuogopa nyoka aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom