Mambo ya kuzingatia unapokutana na nyoka

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,265
23,029
1. Ikiwa umemkuta tu sehemu kapozi.Usimtizame usoni.nyoka wengi hawapendi kutizamwa usoni.wanapatwa na hasira.ikiwa tu yupo sehemu amejilalia zake.achana naye fanya issues zako naye akimaliza mapumziko anaenda kwake.

2. Ikiwa mnakabiliana uso kwa uso mwangalie kwa makini hasa kobra,koboko au kifutu.mwangalie machoni ili uone anakuangalia sehemu gani akugonge.ukiona anakuangalia begani ujue ndo analenga sehemu hiyo. Epa.

3. Usimkimbie nyoka...mtizame kwa macho makali bila woga (ikiwa hukufanya lile la kwanza hivyo umeshamsumbua) .hapo atajua upo serious...anaweza ingiwa na woga na akiona umetoa sana macho atashusha hasira zake na kuanza kuondoka.atajua you mean biznez asikuone boya

4. Kama unakutana na nyoka njiani mwache apite zake.kila mtu awahi mishe mishe zake.huwa hawapendi kukatishwa safari zao.

5. Ukikuta nyoka anacheza na mtoto mwache we endelea na issues zako.ukijifanya kumkatisha atakumind kuwa umemwona yeye hajui kuwa huyo ni mtoto hivyo atakuonesha kuwa sasa ngoja afanye ulichowaza.atamgonga.
 
1. Ikiwa umemkuta tu sehemu kapozi.Usimtizame usoni.nyoka wengi hawapendi kutizamwa usoni.wanapatwa na hasira.

2. Ikiwa mnakabiliana uso kwa uso mwangalie kwa makini hasa kobra,koboko au kifutu.mwangalie machoni ili uone anakuangalia sehemu gani akugonge.ukiona anakuangalia begani ujue ndo analenga sehemu hiyo. Epa.

3. Usimkimbie nyoka...mtizame kwa macho makali bila woga.hapo atajua upo serious...atashusha hasira zake na kianza kuondoka.

4. Kama unakutana na nyoka njiani mwache apite zake.kila mtu awahi mishe mishe zake.huwa hawapendi kukatishwa safari zao.

5. Ukikuta nyoka anacheza na mtoto mwache we endelea na issues zako.ukijifanya kumkatisha atakumind kuwa umemwona yeye hajui kuwa huyo ni mtoto hivyo atakuonesha kuwa sasa ngoja afanye ulichowaza.atamgonga.
Heheheee we kweli chizi maarifa eti usimtizame usoni koboko na kobra utakuwa umebaki tu unamwangali kabla kuzimia hakujatangulia kifo kikafuatia badae
 
Hiyo no 5 tu ndio nimeiafiki
1. Ikiwa umemkuta tu sehemu kapozi.Usimtizame usoni.nyoka wengi hawapendi kutizamwa usoni.wanapatwa na hasira.

2. Ikiwa mnakabiliana uso kwa uso mwangalie kwa makini hasa kobra,koboko au kifutu.mwangalie machoni ili uone anakuangalia sehemu gani akugonge.ukiona anakuangalia begani ujue ndo analenga sehemu hiyo. Epa.

3. Usimkimbie nyoka...mtizame kwa macho makali bila woga.hapo atajua upo serious...atashusha hasira zake na kianza kuondoka.

4. Kama unakutana na nyoka njiani mwache apite zake.kila mtu awahi mishe mishe zake.huwa hawapendi kukatishwa safari zao.

5. Ukikuta nyoka anacheza na mtoto mwache we endelea na issues zako.ukijifanya kumkatisha atakumind kuwa umemwona yeye hajui kuwa huyo ni mtoto hivyo atakuonesha kuwa sasa ngoja afanye ulichowaza.atamgonga.
 
Hakikisha ulipo kuna mwanga wa kutosha kama ni usiku..sio umemuona tu na umeme unakata...
 
Mkuu hao nyoka wakuangaliana usoni halafu akakuacha wako ulaya sio huku

Swila akiingia ndani kama ni usiku hua anatafuta njia kwa kugonga gonga hovyo hovyo. yani kama kaingia jikoni basi utaskia sauti ya masufuria na vikombe vikigongwa

Huyo koboko ndo kabisaa balaa lake nadhani unalielewa, akisha point kua analenga bega ukijitusu tu utingishike hata maiti yako haitafaa kuangaliwa

Chamsingi kama ni maeneo ya bush hakikisha uko jirani ma wamasai au wamang'ati maana hawa hakuna nyoka atayesogea mbele yao, kama ni mjini basi hakikisha uko na mchina
 
Je wajua kuwa uwezo wa nyoka kuona ni 5% tu. yaani kwa lugha rahisi naweza kusema kuwa nyoka
hawana macho ila wana hisia kali sana na yale tunayoyaona kuwa ni macho ni kama pambo tu je unakubaliana na wenye hoja hii? Mimi nakubaliana nao kwa sababu zangu ninazojua.
Sababu zang ni kama ifuatavyo.
1.nyoka hata akilala hawezi kufumba macho.
2.nyoka hata wakati wa mvua hawezi kukwepesha macho. Mfano mzuri ni kenge au mambo umewahi kujiuliza ni kwanini mamba na kenge wakiwa nchi kavu mvua ikianza kunyesha tu wanakimbilia majini? Ni kwasababu wanakwepesha macho yao na mvua maana macho yao yamekaa sehemu mbaya kama mwenzao nyoka. Ila nyoka yeye wala hana habari.
3. Nyoka hana kope. Hvyo ni kweli macho yake hayafanyi kazi.
4. Ana uwezo mkubwa wa kuhisi umbo la kitu kuliko sifa za hicho kitu.
5.anauwezo wa kuhisi kishindo cha kitu mf. Sehemu tulivu kabisa jani likidondoka umbali wa mita 100 anauwezo wa kusikia hicho kishindo.
ILA hivo vitu vilivyo kama macho yale yanauwezo wa kumuonesha umbo la kitu ila sio uhalisia wa kitu.
 
Nijuavyo mimi Wanyama wengi hawana tabia rasmi, ni baadhi ya tabia tu hujirudia rudia lakini tabia yao kuu ni kubaki kama Mnyama na kufanya unyama.

Mimi ni miongoni wale waliokuwa wameaminishwa kwamba si rahisi Nyoka akuvamie bila ya sababu, lakini nimeshakutana na matukio kadhaa Nyoka anatoka alipotoka na kumgonga au kujaribu kumgonga Mtu...huenda ikawa labda Nyoka huyo ameghafirishwa huko atokako nadipo akakutana na wewe akakuvamia, lakini sasa utajuaje na yeye hasemi?
 
1. Ikiwa umemkuta tu sehemu kapozi.Usimtizame usoni.nyoka wengi hawapendi kutizamwa usoni.wanapatwa na hasira.

2. Ikiwa mnakabiliana uso kwa uso mwangalie kwa makini hasa kobra,koboko au kifutu.mwangalie machoni ili uone anakuangalia sehemu gani akugonge.ukiona anakuangalia begani ujue ndo analenga sehemu hiyo. Epa.

3. Usimkimbie nyoka...mtizame kwa macho makali bila woga.hapo atajua upo serious...atashusha hasira zake na kianza kuondoka.

4. Kama unakutana na nyoka njiani mwache apite zake.kila mtu awahi mishe mishe zake.huwa hawapendi kukatishwa safari zao.

5. Ukikuta nyoka anacheza na mtoto mwache we endelea na issues zako.ukijifanya kumkatisha atakumind kuwa umemwona yeye hajui kuwa huyo ni mtoto hivyo atakuonesha kuwa sasa ngoja afanye ulichowaza.atamgonga.
Chizi maarifa story hizo unachotakiwa kufanya ukimuona nyoka jishike kwenye pingili ya mkono wa kulia yaani mkono wakushoto bana hapo kwenye juu mkono wako ukishabana haendi popote pale huyo nyoka watan wangu wa jadi washajua kitu gani kitakochomfanya asione njia nakukaa hapohapo alipo
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom