Habar wandugu, nimepata taarifa eti wahudum wa nyumba za wagen huwa wanachukua shahawa wanazokuta mara baada ya wateja kutoka na kufanyia mambo inayosababisha mwanaume kushindwa kusimamisha uume je ni kuna ukwel kuhusu hilo swala asanteni
Sasa wanachukua wanazipeleka wapi ? na kuyafanyia nini hayo mabao
Au ndio yale yale ya kuleta lawama kwa kila kitu