Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Mke: Vipi bwana, mbona leo umerudi mapema tena kwa majonzi hivyo...??!
Mme: Wenzangu wa ofisini wote wamefariki kwa ajali ya moto.
Mke: Mungu wangu, we umeponaje?
Mme: Nilikuwa na tumbo la kuendesha, nilikuwa nimeenda choo cha ofisi ya jirani ndo mi nikaokoka na hiyo ajali.
Mke: Nazionea huruma familia za wenzako! Sasa wataishije?!
Mme: Nimesikia kuwa BIMA itailipakila familia ya marehemu millioni HAMSINI.
Mke: AAAAH...! UNAONA MAMBO YAKO YA KUHARISHA- HARISHA; UMEIKOSESHA FAMILIA YAKO MIL 50 HIVI HIVI TU...:A S-confused1:
Mme: Wenzangu wa ofisini wote wamefariki kwa ajali ya moto.
Mke: Mungu wangu, we umeponaje?
Mme: Nilikuwa na tumbo la kuendesha, nilikuwa nimeenda choo cha ofisi ya jirani ndo mi nikaokoka na hiyo ajali.
Mke: Nazionea huruma familia za wenzako! Sasa wataishije?!
Mme: Nimesikia kuwa BIMA itailipakila familia ya marehemu millioni HAMSINI.
Mke: AAAAH...! UNAONA MAMBO YAKO YA KUHARISHA- HARISHA; UMEIKOSESHA FAMILIA YAKO MIL 50 HIVI HIVI TU...:A S-confused1: