What is dimwit?? .... Is it some kind of Kigali slang? lol
Anyways wewe ni mwanamke na siyo vizuri kumtukana mwanaume directly hivyo, it's not cool.
Nirudi kwenye issues, huelewi ninachozungumza. Elimu kama mtanzania kwa wanyarwanda na warundi bila kuwa international students. Kwa mfano bila kujidai nimesoma States kama international student na nimesoma na wanyarwanda,wakenya, warusi, Jamaicans etc... this is not the same. We had students from Togo, Swaziland, Uganda, Zimbabwe, Madagascar etc na walikuwa wanalipa au tuna-exchange. Not Rwandans and Burundis.
Huwezi kutufundisha jinsi ya kuendelea na kutudharau. You are not all that, na sisi siyo watu wavivu kwani tuna chakula in excess. Watu walio na chakula excess ni wavivu?? Hatulishwi na WFP kama baadhi ya majirani.
How is Rwanda different from Tanzania? What demographic properties that affect enrollment and completion rate?
Halafu usikariri mambo ya Asian Tigers. Economic plan gani aliyonayo Singapore ambayo Tanzania hana?