Mambo ya FDLR na Rwanda

Mambo ya FDLR na Rwanda

lol... Kwa taarifa yako, nilikuwepo huko Dar mwaka jana mwishoni, na kwa jinsi nnavyowajuwa wasanii hata JF siku ivisit, nnavyowaanika upimbi wenu! mgenipata lazima mngening'oa kucha, huko nikuja kimyakimya, ingawa mnajitapa na freedom uchwara... hivi wewe usawa huu nani anatamani gamba la Bongo? ni wewe na bwana yako jMali tu.

Mzee wa sumu, hizo illusions zako ndo zinakufanya uwe chi.zi. Mwanzoni ulisema ulishatoka Bongo miaka mingi. Leo unasema umetoka mwaka jana. Wewe upo hapa hapa tu. Sasa jaribu kuwa na point zinazoeleweka. Alafu unaonekana wewe ni mlevi na huna hoja ya msingi ndo maana kila unachokipata kwenye google unakileta hapa.
Duuu, kazi kweli kweli.
 
Mzee wa sumu, hizo illusions zako ndo zinakufanya uwe chi.zi. Mwanzoni ulisema ulishatoka Bongo miaka mingi. Leo unasema umetoka mwaka jana. Wewe upo hapa hapa tu. Sasa jaribu kuwa na point zinazoeleweka. Alafu unaonekana wewe ni mlevi na huna hoja ya msingi ndo maana kila unachokipata kwenye google unakileta hapa.
Duuu, kazi kweli kweli.

Yani wewe mi naona usimamishe tu kunywa gongo! Kwani wapiumeona nimesema mie mkazi wa Bongo? Kwani kutembelea sehemuni mpaka uwe mkazi? Ninandugu na marafiki kibao na hiki kiwanja cha GLR nakivuruga ntakavyo tofauti nawewe mnywa gongo, yani sijapata kuona mtu mgumu kuelewa kama wewe, get a life
 
mkuu sijakuelewa. Usanii kivipi?

Ok afanye kama alivyo fanya arusha, walikubaliana nini na akafanya nini, huo ni mmoja wa mfano wa usanii ,usanii its a powerfull weapon mwambie aendelee ku apply
 
Jamani huu uzi mbona kama umenifia mikononi mwangu,jmali upo wapi kwani hii story haiendelei,hapa kijiweni nishawavuluga hatari ni bia na nyama choma tu,jmali lete update jamaa yangu bila hivyo hawa waswahili watafunga bill,yaani watu wengi hawajui hii issue ya rwanda na sijawatonya kama mzigo wote upo jf,watu hapa wana masimu ya hatari kuna wenye ma iphone,blackberry lakini ni weupee yaani wote nawaona wanahangaika na watsapp tu,jmali please lete update
 
Back
Top Bottom