mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,856
- 106,084
2-0 pole sana.Ila Arsenal wanazingua kinoma xna
Mapema mno Tena nlivyoona kikosi nkajua imekula hio2-0 pole sana.
Vipi wamekuchania mkeka?
Kwa mara nyingine tena, pole Kiongozi.Mapema mno Tena nlivyoona kikosi nkajua imekula hio
Roba za Mwananyamala hizo.. Yani kabla hujajua nini kimekupata tayari wana wanakuwa wameshamaliza kazi
Neno Dizonga nilijulia ChideoRoba za Mwananyamala hizo.. Yani kabla hujajua nini kimekupata tayari wana wanakuwa wameshamaliza kazi
OSHA mecho na hiyoNeno Dizonga nilijulia Chideo
Natamani ningeishi hapo zamani za kaleeeee, zile Zama ambazo Sungura na fisi walikuwa nanuwezo wa kuongea na kupanga mipango yao pamoja uOSHA mecho na hiyoView attachment 1896377