Lissu atajuta. Hata yale matamko yake dhidi ya Magufuli alikuwa anayatoa tu bilq support ya chama.Mgombea mwenza wa lowassa, haji duni alisema "chadema ni kama ukoo wa kambale, kila mtu ana ndevu"
Lissu sijui lile tamko lake la jana atalifuta
Lisu mchonga mdomo unaitwa hukuMgombea mwenza wa lowassa, haji duni alisema "chadema ni kama ukoo wa kambale, kila mtu ana ndevu"
Lissu sijui lile tamko lake la jana atalifuta
Swali dogo la kujiulizaChadema imekuwa chadramaView attachment 1633867
Umeiona hiyooo? tindoHivi inawezekanaje makumi ya wanachama akina mama/ dada wa CHADEMA waende kula viapo vya kuwa wabunge wa viti maalumu [hivi huwa wanamwakilisha nani hawa wabunge wa hivi viti?] halafu katibu mkuu wa chama asikitambue kitendo chao hicho?..
Na 2025 watashiriki tena uchaguzi mkuu.
We subiri tu..
Tulionya tukatukanwaLissu atajuta. Hata yale matamko yake dhidi ya Magufuli alikuwa anayatoa tu bilq support ya chama.
Kaza moyoKuanzia leo
1.sina chama
2.sipigi kura
3.sitoongelea siasa
Chadema mumenikasirisha sanaa .
Washasema wana mgombea wao ShangaziTena safari hii watakuja na mikwara mingi zaidi
Kwani wa ccm wanamwakilisha nani.watawawakilisha wananchi kwani wewe hujui.?Au sababu ni wa viti maalum?Funguka acha ushabiki.Hivi inawezekanaje makumi ya wanachama akina mama/ dada wa CHADEMA waende kula viapo vya kuwa wabunge wa viti maalumu [hivi huwa wanamwakilisha nani hawa wabunge wa hivi viti?] halafu katibu mkuu wa chama asikitambue kitendo chao hicho?...
Unaallergy na Lissu hapa wanazungumziwa akina Mdee umekazana Lissu hata kama humpendi jaribu kuficha ushetani wakoShida yenu ni kwamba mna overrate Tundu Lisu sana, huyo jamaa ni mediocre sana, kwanza ni average hata kwa standard za kibongo amefika hapo alipofika kwa uogo, usaliti na utapeli, kuwa mnamsifia lkn hakuna achievement yoyote tangible siyo ya kielimu au hata ki career anayoweza kuonyesha, ...
Chukua balimi kumi kwa mangi ntalipa. Mdogo mdogo watu watamfahamu mpumbavu yule cc Sky Eclat Mshana Jr (tatizo lako elimu ya kuunga hadi Korogwe TTC ndo maan huoni mapungufu ya Tototundu)Shida yenu ni kwamba mna overrate Tundu Lisu sana, huyo jamaa ni mediocre sana, kwanza ni average hata kwa standard za kibongo amefika hapo alipofika kwa uogo, usaliti na utapeli, kuwa mnamsifia lkn hakuna achievement yoyote tangible siyo ya kielimu au hata ki career anayoweza kuonyesha, ...