Mambo ya CHADEMA yanatia kizunguzungu

Mambo ya CHADEMA yanatia kizunguzungu

Ngabu una uzi wako humu, if u do what u always do, nafikiri ndiyo lilikuwa neno lako kuu...

Wengi tukasema hakuna wapinzani zaidi ya wachumia tumbo, hakuna cha maslahi mapana ya taifa, ni maslahi kwa ajili ya matumbo yao mapana.

Wengi tulijua njaa, njaa, njaa na ubinafsi wao will eventually catch up nao.

Walihakikisha serikali za mitaa hazina wenyeviti wa upinzani wao wenyewe, kwa kuhamasisha watu wasusie na kujiengua kushiriki. Ilipofikia kwenye ubunge na udiwani wao wakashiriki kwa kampeni kubwa kubwa.

Hawatambui uchaguzi yet wanatambua viti vya bure. 🤣 🤣 🤣

Hotuba za praise & worship zitatokea mpaka kwa hawa hawa.

Everyday is Saturday................................😎
 
Ngabu una uzi wako humu, if u do what u always do, nafikiri ndiyo lilikuwa neno lako kuu...

Wengi tukasema hakuna wapinzani zaidi ya wachumia tumbo, hakuna cha maslahi mapana ya taifa, ni maslahi kwa ajili ya matumbo yao mapana.

Wengi tulijua njaa, njaa, njaa na ubinafsi wao will eventually catch up nao.

Walihakikisha serikali za mitaa hazina wenyeviti wa upinzani wao wenyewe, kwa kuhamasisha watu wasusie na kujiengua kushiriki. Ilipofikia kwenye ubunge na udiwani wao wakashiriki kwa kampeni kubwa kubwa.

Hawatambui uchaguzi yet wanatambua viti vya bure. 🤣 🤣 🤣

Hotuba za praise & worship zitatokea mpaka kwa hawa hawa.

Everyday is Saturday................................😎
Na subiri utaona. 2025 watashiriki tena chaguzi.

Watayagomea matokeo. Ila bungeni wataenda [hao wachache wataobahatika].
 
Na subiri utaona. 2025 watashiriki tena chaguzi.

Watayagomea matokeo. Ila bungeni wataenda [hao wachache wataobahatika].
No surprises...

Wengi tulijua nafasi ya kupata ruzuku, ndiyo ingekuwa TEST ya kweli ya wapinzani, na walivyo na njaa hawawezi kusalimika.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hao pia wanatafuta maisha kama sisi tu, wavumilieni.
 
Wachumia tumbo wamekirawiti chama kwa maumivu makubwa.
Tutarajie wanachama wengi kujiengua chamani.
 
Back
Top Bottom