Afadhali ya hizo mie nimewahi kuona Jini anamfukuza mtu aaf kwenye taa za barabarani akasimama ili asigongwe na gari baadae huko mbele jinni akachoka ikabidi akodi bajaji ili aendelee kumkimbiza binadamu. Duuh nikazima na TV yenyewe
Afadhali ya hizo mie nimewahi kuona Jini anamfukuza mtu aaf kwenye taa za barabarani akasimama ili asigongwe na gari baadae huko mbele jinni akachoka ikabidi akodi bajaji ili aendelee kumkimbiza binadamu. Duuh nikazima na TV yenyewe
Haya makosa madogo madogo hutokana na... movie Director, Assistant Director, Script writer, Make up artist, Camera man, Sound Engineer kuwa mtu huyo huyo mmoja..
Kwa hiyo siku ya ku shoot anaitwa msanii wa scene hiyo wao wanashoot wawili tu...
Mwendo ndiyo huo huo...
Kwa nini makosa yasitokee....
Afadhali ya hizo mie nimewahi kuona Jini anamfukuza mtu aaf kwenye taa za barabarani akasimama ili asigongwe na gari baadae huko mbele jinni akachoka ikabidi akodi bajaji ili aendelee kumkimbiza binadamu. Duuh nikazima na TV yenyewe