Mambo wafanyayo wanaume yanayokera



Baby basi jamani loh mpaka nashindwa kunywa maji unavyolipuka Kama mabomu ya mbagala
 
Mwanamme anayotoa hela kama ndiyo kigezo cha kudumisha penzi ndiyo tatizo kubwa kwangu
 
Pesa ..pesa ..pesa..pesa..umaskini ukichanganya na tamaa mbaya mno

Msichakachue topic yangu sijaongelea pesa tu..... kuna uchoyo. Ubinafs wivu ila najua kinawauma yanayowagusa amlengi...
 
Mwanaume mlalamishi na siyejua kutimiza majukumu yake ni tatizo kubwa.

Du ka wangu, mbishi, mlalamishi, hajitumi, anapenda kukopakopa tu, sip muwajibikaji ka mme yani alivyo anatamani sikumoja nimwite mke wangu kwajinsi nilivyo vaa uhusika wa ubaba hasa katika maswala ya kutafuta , anachoweza yeye ni ku mbato, na ukimnyima maku anakua ka kavuta bangi asa mi najiulizagabona hanihudumii
 

Hahahaha.....bibie usinivunje mbavu lol...mbona kama tunashea hivi au wana undugu?
 
ndio ila kwa mfano mwanamke anakazi ukimpa laki tano kwa mwezi yake na mtoto au laki nne afu bado analalamika haitoshi huyo unamchukuliaje

Nitamchukulia ana matumizi mabaya kwa hiyo nitamfundisha kubana bajeti... ila na wewe uwe unampa hela ya shoping
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…