aiseeee jf raha nimecheka sanautasikia baby tuma picha ...
tuma picha unatuma bado tena
tuma picha ... hivi niwaulize
mnatengenezea movie hizo
picha ni nini tatizo?...######
ni shida nadhan kama ni movie hata series zingetosha
Ukimuona hapa ujue katoka kwangu kuchukua ruhusa
- kuvua suruali na kuiacha chini
-kuingia ndani na viatu wakati tunadeki
-kuandikiwa sms ndefuuuu ye anajibu ."ok"
-kumaliza ugomvi kwa kusema "hayaishi"
-kutoa hela na kuuliza "enh kwani umefanyia nini'
kutoa compliments kimoyomoyo but complains kiwaziwazi
-kufutia viatu vitambaa /nguo yyte iliyopo mbele yake
-kuweka miguu juu ya meza
enhenhenhenhrnhe vitu vidogooooooooooooo ila vinatukeeeeeeeeeeera!
Sisi tunao wake watano hatuna huo Muda wa kufanya hayo,Kila mmoja depends my dick,Narudia tena hatuna muda huo.PERIOD.
Wanajanvi sitaki kuwarudisha nyuma ya haya maongezi ila ninashindwa kuelewa ni wanaume wa aina gani wanaongelewa hapa? Je na wale vijijini wanaongelewa au hapana? Nikiwa na maana kwa mfano kule Kyela ndani au Marangu ndani mpaka hatu kule Karagwe ndani kabisa?
hizi mada ukitaka uwe fair usiwe personal!Dada yangu mwanaume wa style hiyo utakuwa umemuokota bar, katika hatua zenu za urafiki/uchumba mpaka ndoa hukupata muda wa kumchunguza? Hata kumtembelea nyumbani kwake? Au mlikuwa mnakutana gest house?
naona wanawake siku hizi mnatafuta "GENETIC MODIFIED MEN". Poleni sana..kumbuka wanaume nao ni binadamu wala siyo malaika na muda mwingine wanawake ni uswahili tu.
huu ndo ukweli lazima ifike sehemu tutambue value yetu sio kwenda kama saa mbovu tuu mwanaume hasifiwi gegedo bhana ...nione anachacharika huku na kule,plan with action ,BUSINESS PLAN anakuwa nazo anajua dunia inaenda wapi sio PLZ NITUMIE PICHA BABY,...fool u wanna eat my pics or wat??
tuangali maisha ya mbeleni mwanaum majukuu,mipango,decision making,ujitambue bhana mwanamke ni ubavu wao wao ndo kiongozi ila wanatia aibu
best hujambo hongera kwa yale ya mtaa wa pili na wifi yako
ukimona Kaizer niitie pls
hizi mada ukitaka uwe fair usiwe personal!
we kwa akili yako niliyoandika hapo nimeandika kutoka hewani?
na kimsingi unafikir yote hayo unayakuta kwa mtu mmoja?
msijadili mada za kiutuuzima kwa akili ya kitoto!
tanua upeo na uwezo wa kufikiri !
angalia maisha mengine thn weka hoja mezani sio unaongea ongea tu kama umekunywa maji ya choo cha hiyo gesti unayofikiri ndiko watu wanakutana ili mpaka wanaoana!
mxxxxxxxxxxxxxxxiou!
mie hakuna hata moja linanihusu hapo. Ukiona mtu kakwambia tuma picha ujue wewe siyo mwaminifu na ameshajiridhisha kuwa upo hivyo.ha ha ha ha madilika ambalo limekuhusu mengine yaache
saa miss chagga mi niko huku mantaa.apolojaziii...nasota miaka mbili natafta matazanite aifuu.nilikuwa mweupe mpaka nimekuwa mweusi arifuuuu....afu mchuchu ananitenga,nirudi na majasho yangu aniletee niaje.yesu wangu apite kushoto tena achape lapaa helaa ngumusiyo mdebwedo mnachosha mwanaume kulalama uvivu tu muache hiyo tabia mbaya
saa miss chagga mi niko huku mantaa.apolojaziii...nasota miaka mbili natafta matazanite aifuu.nilikuwa mweupe mpaka nimekuwa mweusi arifuuuu....afu mchuchu ananitenga,nirudi na majasho yangu aniletee niaje.yesu wangu apite kushoto tena achape lapaa helaa ngumu
saa miss chagga mi niko huku mantaa.apolojaziii...nasota miaka mbili natafta matazanite aifuu.nilikuwa mweupe mpaka nimekuwa mweusi arifuuuu....afu mchuchu ananitenga,nirudi na majasho yangu aniletee niaje.yesu wangu apite kushoto tena achape lapaa helaa ngumu