Teh teh teh teh, wewe ni mwongo sana.
Professor James. G. Hershberg mwanafunzi wa zamani wa Harvard University na Columbia anasema hivi.
"Over CUBA an SA-2 Missile downed a U-2, killing is pilot" - Page 80 of the Cambridge History of the Cold War, Vol 2. ( Background of the CUBAN Missile Crisis)
Sasa wewe unatuambia Soviet Union waliboresha SAM's zao mwaka 1960, lakini Professor wasomi wote wa Harvard University wanasema SA-2 au S-75 Dvina zilitengenezwa mwaka 1957, mwaka moja sawa na kutengenezwa U-2 Plane.
Tena yalifanikiwa kulipua ndege aina ya U-2 na kuua rubani wake kule nchini CUBA: Hizi taarifa ni tofauti kabisa na Propaganda zako ambazo umeziokota tokea mitandaoni kwamba WASOVYETI walikuwa hawana uwezo wa kutungua U-2 Spy Plane.
Teh teh teh teh... Halafu unaniita mimi KILAZA, kweli nyani haoni kundule.
NB: Ni hat!!!
CC:
izzo ,
Bukyanagandi ,
Dotworld ,
herikipaji