Mambo usiyoyajua kuhusu B-2 stealth bomber

Mambo usiyoyajua kuhusu B-2 stealth bomber

Bwahahahahaha mkuu POVU la nini hili?
Aisee wala usihangaike kunijibu tena maana wewe unaumwa CHRONIC DYSLEXIA.
HUNA UWEZO wa kuandika vizuri na mtu akaelewa.
😀😀😀😀😀😀
Hahahahahaha..... Alyekua anamtolea mwenzake POVU kama sio UJI ni me au ww?! Maana nakuona mtu mzima unahangaika kila siku unanijia na tuhuma mpya mara oooh nimekutusi, sijui nimekuita kilaza sijui nn. Kumbe unajitusi mwenyewe. Halafu ulivyo na akili fupi juzi eti ukaja na POVU eti siku ile ulikua umefunga kwa hyo NIKUTUKANE tena siku ambayo ulikua hujafunga,KWELI?! Mkuu naanza kupata wasiwasi na hyo elimu yako nahisi haijakusaidia, pia naanza kupata mashaka km kichwani upo SAWA. Usiku Mwema.
 
Bwahahahahaha mkuu POVU la nini hili?
Aisee wala usihangaike kunijibu tena maana wewe unaumwa CHRONIC DYSLEXIA.
HUNA UWEZO wa kuandika vizuri na mtu akaelewa.
😀😀😀😀😀😀
Ukiona huelewi bhasi inaelekea una michanga kichwani maaana kama wenzako wote wanaelewa na tunaelewana vizuri tu wewe peke yako ndo huelewi bhasi embu jaribu kujitathmini upya.Ila asante kwa huo ugonjwa ulionipa .
 
Teh teh teh teh teh teh!
😀😀😀😀😀😀😀😀



Kibaya zaidi ulisema walishusha moja jambo mwaka 1960 jambo ambalo ni uongo mkubwa na SUGU.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Kwa hyo unataka kuniambia huo mwaka 1960 zilishushwa ngapi?! Maaana kwa mujibu wa historia inaonyesha zilishushwa mbili moja mwaka 1960 na nyingine 1962.
 
Teh teh teh teh, umeona mawenge hayo.
Utanihisi hadi kibabu mwaka huu.
😀😀😀😀😀😀😀😀



Bwahahahahah! Michanga kichwani tena?
Mbona unaongea sana lugha ya picha mkuu?
😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱

Serious talk: Mwanangu jifunze kuandika vizuri, huenda nikaja kukuelewa huko mbeleni maana unapuyanga sana.
Siyo Kiswahili wala Kiingereza au wewe ni unatokea RWANDA?

Aseeee inawezekana...Ila pia mwanangu jifunze kufikiri na kuandika km jinsi umri wako ulivyo maaana kuna vitu vingine unaaandika km vile mtoto wa mtaaaani kumbe ni ww unayejiita msomi.
 
Mkuu si uniombe tu nikupe hivyo vitabu nilivyosomea mwenzako Mwaka wa pili na wewe utoe matongotongo.
Unajua Sharing is Caring,.....teh teh teh teh teh.
Omba basi nikupe..........After all we are not enemies YOU KNOW (In lemutuz voice)

Kwa uandishi na kufikiri huko borahvyo vitabu ubaki navyo mwnyewe.
 
Inawezekana.

Basi sawa mkuu.
Ila tuweke utani pembeni.
Wewe jamaa una akili sanaaaaaaa!Sanaaaaaa.
Usione nakubishia tu hivi, nakuonea bonge la wivu.
Nataka siku nije kuwa na uwezo mkubwa kama wako, kiukweli ninajifunza mengi sana kutoka kwenye nyuzi zako.
Endelea kutua elimu ya bure mkuu BTW mimi nina miaka 22 tu ndiyo niko mwaka wa mwisho hivyo nina mengi ya kujifunza mkuu.
 
Basi sawa mkuu.
Ila tuweke utani pembeni.
Wewe jamaa una akili sanaaaaaaa!Sanaaaaaa.
Usione nakubishia tu hivi, nakuonea bonge la wivu.
Nataka siku nije kuwa na uwezo mkubwa kama wako, kiukweli ninajifunza mengi sana kutoka kwenye nyuzi zako.
Endelea kutua elimu ya bure mkuu BTW mimi nina miaka 22 tu ndiyo niko mwaka wa mwisho hivyo nina mengi ya kujifunza mkuu.
Asante (japokua sidhan kama umeyatoa kwa moyo ) ,Mwaka wa mwisho unasomea kitu gan?
 
Back
Top Bottom