Satellite navigation technology ni technologia ya mwaka 1970 technologia hii baadhi ya nchi tayali wameshakuwa na uwezo wa kubypass technologia hii mfano nchi ya Pakistan katika project yao ijulikanayo kama PROJECT 706[1974-1983] waliweza kubypass SNT za US,UK na Israel na kufanikiwa kutengeneza bomu la nuclear bila ya dunia kujua kilichokuwa kinafanyika ndani ya jiji la islamabad kuanzia mwaka 1974-1983
Jeshi kuna aina tatu za ndege ambazo zinaingia ndani ya uwanja wa mapambano front line
1 Ndege za mizigo{cargo}
2 Fighter jet
ndege hizi mara nying zinakuwa na vitu viwil moja supersonic speed na kuwa na uwezo wa kubeba smart bombs ambazo lazima zinakuwa na mfumo wa Precision Guided munition [PGM]
3 Ni ndege zijulikanazo kama Bomber
Bomber ni ndege zenye kuweza kubeba mzingo mkubwa [payload] wa vilipuzi mabomu lakini mabomu hayo yanakuwa hayana mfumo wa PGM
Ndege ambayo mkuu
ze kokuyo anaizungumzia ni ndege aina ya Bomber lakini ndege za bomber zipo nying tu mfano B52 lakini kinachoifanya B2 spirit ambayo imetengezezwa na kampuni ya Northrop Grumman kuwa tofauti na zingine ni technologia yake ya[ STEALTH]
STEALTH si ndege kama watu wanavyojua stealth ni technologia ambayo inakwekwa kwenye ndege ambapo huwezesha ndege kutoonekana kwenye rada
kumbuka Technology ya rada imegunduliwa mwaka 1930 so imekuwa na mabadiliko ya technologia hii miaka na miaka
hili rada iweze kuona ndege huwa inascan anga na kurudisha kitu kinachoitwa Electromagnetic pulse [EMP] ambazo zinakuwa translated kwenye radio waves kupitia hizo radio waves inaweza kugundua umbali ,sehemu na ukubwa wa kitu kama ndege ,meli na mabomu au makombora yanaweza kuwa detect na rada sasa technologia hii ya Stealth ndio inaweza kuidanganya rada au kuzuia hizo electromagnetic pulse ambazo zinatumwa kwenye rada station
Stealth hii technology inapatikana kwenye aina mbili
1 Ni aina ya mikunjo au mikato ya ndege {Cutting Edge]
hii technology cutting Edge ndio inatumika sana kwenye ndege za fighter kama F-35 LIGHTING II yani kifupi zile ndege au jets wanazosema hazionekani kwenye rada hii cutting Edge inadanganya rada vitu viwili
[A) Rada haiwezi kujua ni kitu gani kinakuja {kumbuka kwenye rada ni vitu vyote vilivyo angani vinaonekana so watashindwa kujua aidha ni ndege ya raia ,jeshi au drone so inawachanganya so hawawezi kushambulia kitu wasichokuwa na 100% sure ni kitu gani
[B) Rada haiwezi kujua umbali halisi wa hicho wanachokiona {kumbuka rada inatoa umbali,sehemu na ukubwa wa kitu]
2 Ni mchanganyiko wa rangi na material mbalimbali {ambayo mpaka sasa ni top secret na mwenye technologia hii ni kampuni ya Northrop Grumman ambayo ndio watengenezaji wa hii B-2 Spirit na technology hii ya kuchanganya rangi na material ni tofauti na technology ya Cutting Edge ambayo inafanya vitu nilivyovitaja hapo juu hii ni NOTHING TO DISPLAY kwenye rada yani kifupi uwezi kuona kitu kwenye rada
Tuje kwenye B-2 Spirit ndege hii inazo technologia zote mbili za stealth ikiwamo technologia ya Cutting Edge na hii ya kuchanganya rangi na material mbalimbali ambayo ndio inaifanya dege hili kutokuonekana kwenye rada na limeshakwenda sehemu mbalimbali duniani kufanya mission ikiwamo Russia bila ya kuonekana na kurudi salama US
MALCOM LUMUMBA[/i]