Mambo usiyoyajua kuhusu B-2 stealth bomber

Mambo usiyoyajua kuhusu B-2 stealth bomber

kumb
Dhumuni la Marekani kuiendeleza stealth technology na mpk Leo kuna B2 bomber ni kwamba aende kumshambulia adui bila ya adui kumwona au kujua.Hvyo B2 inaweza kwenda kushambulia mfano Iran bila ya Iran kujua kama kuna B2 katika anga yao ndo maana mrusi nae Ana project yake ya kutengeneza stealth bomber kama B2(inaitwa PAK-DA) ili aweze kushambulia bila kuonekana na adui. Ukisema urushe kombora(mfano; Kh-555)kutoka kwenye hyo Tu-160 kumbuka USA Ana bases nyingi na mifumo kibao ya kuzuia makombora katika eneo hilo na sasa hv south korea hvyo bila shaka hilo kombora litatunguliwa kabla hata halijaona hata anga ya US. NDO maana sasa hv unaona nchi nyingi zimeanza kuwekeza sana kwenye stealth tec kuanzia China, Russia, India, Japan, Turkey, South Korea, nk.
PAK-DA ya Mrusi hyo hpo chini bado ipo under development.
kumbuka hata iyo s400 inalindwa na short range missile kama vile pantsir 1.warusi sio wajinga ndugu
 
izo
izo B bomber zako kumbuka 50 ziliteketea kule vietnam.ilikuwa ikingia tu kwenye anga ya wa vietnam inakutana na missile
Hakuna B2 hata moja iliyowahi kushushwa kuanzia Iraq, Afghanistan,Yugoslavia hadi Libya.Vietnam waliishia kuangusha B52 ambazo sio stealth,d same way to Georgia walivyoangusha ile Tu-160 kwa SAMs za Urusi mwenyewe. Tena Yugoslavia kwenye Kosovo War walikua na midude ya uhakika kunzia SA-3,SA-7,SA-9 na SA-13 lakin B2 ilikua inaingia na kutoka kama kwake.
 

Attachments

  • 5P73-Launcher-Deployed-MiroslavGyurosi-1S.png
    5P73-Launcher-Deployed-MiroslavGyurosi-1S.png
    110.3 KB · Views: 62
  • 115146-004-6A93E40A.png
    115146-004-6A93E40A.png
    77.7 KB · Views: 62
  • 300px-ZRK_Krug_2005_G1.png
    300px-ZRK_Krug_2005_G1.png
    39 KB · Views: 62
  • Strela-10M4-SA-13-Gopher-MiroslavGyurosi-1S.png
    Strela-10M4-SA-13-Gopher-MiroslavGyurosi-1S.png
    124.6 KB · Views: 66
katika kitu ambacho wamarekani kinawauma hadi leo ni ile jammed ya warusi kwenye meri yao ya kivita.ingekuwa rahisi iyo wangeshaenda kulipiza
Mkuu mbona iyo ishu ilishatolewa maelezo tena US Navy walitoa hadi video kuonyesha tukio zima baada ya hyo habari kutoka kwamba US Destroyer ilikua jammed. Tena hpo kuna hadi taarfa kutoka website ya US Navy kuelezea tukio zima, Tatzo nashindwa kuweka Link wataalam embu nisaidien.
 

Attachments

  • IMG_20170310_120410_945.JPG
    IMG_20170310_120410_945.JPG
    85.8 KB · Views: 57
  • IMG_20170310_120338_646.JPG
    IMG_20170310_120338_646.JPG
    109 KB · Views: 57
  • PhotoGrid_1489136726650.png
    PhotoGrid_1489136726650.png
    80.2 KB · Views: 68
katika kitu ambacho wamarekani kinawauma hadi leo ni ile jammed ya warusi kwenye meri yao ya kivita.ingekuwa rahisi iyo wangeshaenda kulipiza
Half ingekua kweli Marekani wameogopa au hyo meli ilikua imezimwa kamwe isingerudi tena eneo hill lkn 2yrs later ilirud tena kupatrol km kawaida.Na mpk Leo Marekan anapeleka Aegis destroyer Black Sea na Russia anachokifanya ni kurusha tu ndege vita zake kuzimonitor tu zisivuke International waters.Hyo ilikua 2016 ikarud tena tena Su-24 zikarushwa na US Navy wakatoa tena hadi video kukata mziz wa fitina.( PS; Wataalam naomben msaada nashindwa kuweka link)
IMG_20170310_122436_536.JPG
IMG_20170310_122449_373.JPG
 
kwa
kwani iyo ndo stealth ya kwanza?.mnakumbuka F-117 ilifanywa nini kule serbia na mtambo wa zamani sana hata warusi wenyew walishasaau kama waliutengenez wao
Stealth plane ikishafungua tu bomb bay yake na radar cross section inaongezeka kunakua na uwezekano mkubwa wa kua detected na radar ndo kilichotokea kwa F117.Half F117 flew over 1200 sorties lkn moja tu ndo iliangushwa bado unadhan hayo si mafanikio makubwa yani ni sawa na kupigana na mtu half ukampiga ngumi 20 lakin yeye akakupiga moja na bado akawa anadai amekupiga.
IMG_20170310_124311_754.JPG
IMG_20170310_123335_493.JPG
PhotoGrid_1489138589788.png
 
Wenzetu wako juu na wanawekeza Sana katika majesh Yao
Wenzetu wazalendo pia wamewekeza sana kwenye elimu. Huku kwetu hzo ela kwa kutengenezea hayo madude zingekua zinaliwa tu maana hayo madude utengenezaji wake ni pesa ndefuuuuuuuu mfano; hyo B2 program nzima iligharimu dollar billion 44.2 zaidi ya trillion 90 za kiTz km sikosei.
 
Hakuna B2 hata moja iliyowahi kushushwa kuanzia Iraq, Afghanistan,Yugoslavia hadi Libya.Vietnam waliishia kuangusha B52 ambazo sio stealth,d same way to Georgia walivyoangusha ile Tu-160 kwa SAMs za Urusi mwenyewe. Tena Yugoslavia kwenye Kosovo War walikua na midude ya uhakika kunzia SA-3,SA-7,SA-9 na SA-13 lakin B2 ilikua inaingia na kutoka kama kwake.
wapi nilipisema B-2 iliangushwa
 
Stealth plane ikishafungua tu bomb bay yake na radar cross section inaongezeka kunakua na uwezekano mkubwa wa kua detected na radar ndo kilichotokea kwa F117.Half F117 flew over 1200 sorties lkn moja tu ndo iliangushwa bado unadhan hayo si mafanikio makubwa yani ni sawa na kupigana na mtu half ukampiga ngumi 20 lakin yeye akakupiga moja na bado akawa anadai amekupiga.View attachment 479019View attachment 479015View attachment 479016
inamaana gani sasa kuwa na stealth bomber maana ikitaka tu kushambulia ishaonekana.maana uwezi kushambulia bila kufungua bomb bar door
 
As long as we are not investing much in R&D tutaendelea kuwa wateja wa technolojia za wenzetu!! We need Innovation Centers kwenye kila wizara, kambi kubwa za jeshi, vyuoni na hata kwenye manisapaa zetu kulingana na uhitaji wa sasa na zaidi wa baadae!!

1362626858889.jpg

2a22c6cfd57d1462cac859a359ef7684.jpg
 
inamaana gani sasa kuwa na stealth bomber maana ikitaka tu kushambulia ishaonekana.maana uwezi kushambulia bila kufungua bomb bar door
Bomber zile za kwanza mfano F117 ikifungua bomb bay yake mpk kufunga inachukua mda mrefu(had mpk dk kadhaaa 2-5).Lakin hiz za sasa hz zinatumia mda mfup tena mfano F22 so chini ya 20sec ishafunga.Na sasa hv wamaboresha pia mabomu yao mfano ss hv wana Smart bombs na hiz mpya Small diameter bombs zinaweza kushambulia had umbali wa km 20+ hvyo itakua haina haja ya Bombers mpk iingie ndani ya eneo la AIR defence.
IMG_20170310_131823_895.JPG
 
As long as we are not investing much in R&D tutaendelea kuwa wateja wa technolojia za wenzetu!! We need Innovation Centers kwenye kila wizara, kambi kubwa za jeshi, vyuoni na hata kwenye manisapaa zetu kulingana na uhitaji wa sasa na zaidi wa baadae!!

1362626858889.jpg

2a22c6cfd57d1462cac859a359ef7684.jpg
Tatizo kwenye nchi zetu hz za kiafrica kila kitu siasa embu angalia India Leo hii ilivyo baada ya miaka 10 na wao watakuja kwenye top 10 arms seller in the world.
 
Back
Top Bottom