Kama ingekuwa kamari ushanila
wa mombasa wewe au wa makunduchi maana mie kila ninachokisema ni kinyume,je uko tayari?wapenda kuliwa weye? basi twende tukacheze kamari ili nikukule
Kuna mambo 9 ninayajua
kukuhusu wewe...
1.Unaisoma hii joke yangu.
2.Huwezi kugusa meno
yako yote kwa ulimi wako.
4.Umejaribu kuyagusa.
5.Unacheka/umetabasam.
6.Hujagundua kama
nimeiruka namba 3.
7.Umerudia kuangalia kati
ya 2 na 4
8.Umeipenda hii joke
9.Utaidharau kama hujaipenda