Asante kwa ushauri... Ila kama vyote nimeshakosea kuna namna ya kureverse?
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto
2.Usinywe dawa na maji baridi
3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni
4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar moja, usipokee simu yoyote utakayopigiwa kwa sababu simu inapoisha charge kama hivyo, radiation is 1000 times stronger.
Nitakuelekeza tukiwa Tanga.
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto
2.Usinywe dawa na maji baridi
3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni
4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar moja, usipokee simu yoyote utakayopigiwa kwa sababu simu inapoisha charge kama hivyo, radiation is 1000 times stronger.