Nibiru X
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 409
- 369
Watu wa maandiko naomba tusaidiane hili andiko je mlipuko wa Lebanon ni ukamilifu wa neno la Nabii Zekaria kama alivyo andika
Zekaria 11:1-3
Ifungue milango yako ee Lebanon
Ili moto uiteketeze mierezi yako
Piga kelele msonubari maana mwerezi umeanguka
Sababu hii mti yote mizuri imeharibika
3-kwa maana utukufu wako umeharika
Sauti na ngurumo ya wanasimba na kiburi chako kimeharika
Na zab 29:3 sauti ya bwana yaivunja vunja mierezi ya lebanon
Bwana airusha rusha lebanoni kama ndama..
Twaweza jadili pamoja wakristo na waislam
Zekaria 11:1-3
Ifungue milango yako ee Lebanon
Ili moto uiteketeze mierezi yako
Piga kelele msonubari maana mwerezi umeanguka
Sababu hii mti yote mizuri imeharibika
3-kwa maana utukufu wako umeharika
Sauti na ngurumo ya wanasimba na kiburi chako kimeharika
Na zab 29:3 sauti ya bwana yaivunja vunja mierezi ya lebanon
Bwana airusha rusha lebanoni kama ndama..
Twaweza jadili pamoja wakristo na waislam