AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Kunawakati nilijiuliza, chadema inampango gani wa kiuongozi hapo baadae?
Maana huwezi ukawa unafanya timua timua Tu, bila kuangalia maslahi ya baadae, mfano,Mbowe Na Slaa wakizeeka, itakuwaje? Slaa Hana uwezo wa kushika hatamu ya vipindi viwili au vitatu maana amezeeka tayari, je chama ataachiwa Tundu Lisu peke yake?
Na hicho chama kitakuwaje, endapo Tundu mwenyewe ndio huyu wa kutekeleza sheria zisizo yekelezeka kwa maslahi yake?
Any way, cdm ukiwa Na mawazo tofauti utaitwa pro-CCM, Na ccm ikifa cjui watasingizia nn.
Mkuu hoja zako zinajadilika japo kwa sasa ni invalid, vuta subira tuitoe kwanza CCM na ukoo wake wa panya.
UKOMBOZI KWANZA DEMOKRASIA BADAE