Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Mleta maada Salary slip amekuwa akiitetea CHADEMA kwa nguvu zote.Ninamheshimu kwa kuwa yuko kama mimi kusimamia anachokiamini kiwe kizuri au kibaya hadi mwisho bila kutetereka hata kama cha kijinga.Mimi ni mmoja ambaye nimeshalumbana na Huyo SALARY SLIP hadi kufyatukiana lugha zisizo za kistaarabu humu jamii forums MODERATOR MARA INGINE AKAWA ANATUVUMILIA MARA INGINE KUFUTA mimi nikitetea CCM yeye Akishupalia CHADEMA yake.
Assesment mnayomfanyia sasa ya kumdharau si sahihi.Maoni aliyotoa ni mazuri kwa chama kama taasisi lakini inaonekana si mazuri kwa viongozi wa CHADEMA.Mkitaka kujenga CHADEMA kama taasisi imara msikilizeni yafanyieni kazi lakini kama lengo lenu ni kujenga SACCOS ya watu fulani ambao ni mamangi wanaotakiwa kukaa milele kwenye uongozi basi msimsikilize.
Wanataka waendelee kupeleka kodi ya pango kwa Mtei