Mambo matatu ya kurekebisha ndani ya CHADEMA

Mambo matatu ya kurekebisha ndani ya CHADEMA

Mleta maada Salary slip amekuwa akiitetea CHADEMA kwa nguvu zote.Ninamheshimu kwa kuwa yuko kama mimi kusimamia anachokiamini kiwe kizuri au kibaya hadi mwisho bila kutetereka hata kama cha kijinga.Mimi ni mmoja ambaye nimeshalumbana na Huyo SALARY SLIP hadi kufyatukiana lugha zisizo za kistaarabu humu jamii forums MODERATOR MARA INGINE AKAWA ANATUVUMILIA MARA INGINE KUFUTA mimi nikitetea CCM yeye Akishupalia CHADEMA yake.

Assesment mnayomfanyia sasa ya kumdharau si sahihi.Maoni aliyotoa ni mazuri kwa chama kama taasisi lakini inaonekana si mazuri kwa viongozi wa CHADEMA.Mkitaka kujenga CHADEMA kama taasisi imara msikilizeni yafanyieni kazi lakini kama lengo lenu ni kujenga SACCOS ya watu fulani ambao ni mamangi wanaotakiwa kukaa milele kwenye uongozi basi msimsikilize.

Wanataka waendelee kupeleka kodi ya pango kwa Mtei
 
Chadema kumejaa wajinga wengi ..wao mtu kutoa mawazo tofauti ni usaliti na dhambi.
Kama kukata kupenyezewa rupia na ccm wasikisaliti chama kweli tupo wajinga wengi wa namna hiyo lakini aliyokubali kupenyezewa rupia kama huyo aliyoondoka ndio ccm mnamuona anahakili akili za fisi hizo

Chadema Kwanza
 
Hakuna si political parties wala taasisi yeyote ile ambayo hakuna kufahamiana ambavyo ni udini,undugu,ukabira,rangi,sura, na ndio maana hata ukihtaji huduma white people and black people atapewa huduma kwanza white people popote duniani hata Africa ambako ni nyumbani kwa black people inauma sana kwahyo la msingi ni kuiondoa ccm madarakani labda kwa kutumia chama kingine tunaweza kutokomeza udini ukabira nk.
Chadema kwanza
 
Delete CCM ndiyo agenda kwa sasa.

UKOMBOZI KWANZA DEMOKRASIA BADAE
Pokeeni basi mawazo ya wenzenu pia. Yaani ukiwa CHADEMA unakuwa kama umetekwa nyara, leo Salary Slip katoa mawazo yake anaitwa msaliti; Msigwa kapost FB akiwa na EL imekuwa shida. Ukiwa CHADEMA huna uhuru wa kutoa mawazo yako kwa kuwa ukitoa mawazo tofauti tu basi jina lako linageuka na kuitwa msaliti. Kumbe ndio maana hapa JF kuna ushabiki wa kushangaza kabisa. Utakuta mtu anashadidia kitu ambacho hakina maana hadi anatukana kumbe ni kwa sababu ametekwa nyara haruhusiwi kutoa mawazo huru. Ukiwa na wazo huru tu basi wewe msaliti.
 
Hakuna si political parties wala taasisi yeyote ile ambayo hakuna kufahamiana ambavyo ni udini,undugu,ukabira,rangi,sura, na ndio maana hata ukihtaji huduma white people and black people atapewa huduma kwanza white people popote duniani hata Africa ambako ni nyumbani kwa black people inauma sana kwahyo la msingi ni kuiondoa ccm madarakani labda kwa kutumia chama kingine tunaweza kutokomeza udini ukabira nk.
Chadema kwanza
Ungenisoma vizuri ungenielewa rejea katiba ya chama

Chadema Kwanza
 
Napenda kuwashauri CHADEMA watekeleze mambo matatu yafuatayo ili kuondoa propaganda chafu zinazosambazwa na CCM na ambazo zinaweza kuwa na athari mbaya kwa chama chetu.

Wana-CHADEMA,tunapaswa kutambua kuwa watu tunatofautiana katika uelewa wa mambo na katika mapokeo ya taarifa tunazoletewa au kuzisoma.

Kwa maana hiyo basi,mambo haya nashauri yatazamwe upya.
1.Ukomo wa kugombe uongozi urudishwe katika katiba ya chama na ikiwezekano ukomo uwe ni vipindi vitatu vya miaka mitano mitano.

2.Wanachama waruhusiwe kwenda mahakamni na mtu akishindwa kesi aruhusiwe kuendelea na uanachama wake.

3.Mh.Mbowe,kipindi chako cha sasa kikiisha,nakushauri usigombee tena na utoe fursa kwa wengine kugombea na wewe kama kiongozi, ujikite katika kuhakikisha chama kinapata mrithi bora,wa kuamimika na mwenye viwango.

Mchango ndani wako ndani ya chama ni mkubwa na wa kuthaminiwa sana ila ni vizuri sasa ukatoa nafasi kwa wengine ili kukinusuru chama na propaganda hizi.

4.Japo hatuchagu kiongozi kwa kuangalia kabila lake, lakini ikiwezekana katika uchaguzi wa mwenyekiti ajae jambo hili likaangaliwa kwa mapana na marefu yake.

Wenye akili na upeo wa kuona mbali watanielewa, ila wenye kukariri kuwa chama hakihitaji ushauri wa aina hii, watakuja hapa na vijembe na kejeli.

Niwaambie tu,hata kiburi na kujiamini kwa Zitto msingi wake ni uwepo wa hizi propaganda na ndio maana hata anapata public sympathy kutoka kwa baadhi ya watu na watu hao ni wengi tu huku mitaani tunakoishi.Fanya utafiti mdogo uone.

Propaganda zingine ni za msimu tu lakini sio hizi nilizoziongelea hapa.

Yangu ni hayo tu.

Haya mawazo uliyotoa kwa CDM utaonekana USALITI, pitia tu sredi yako utatambua kuwa kwa kutoa hayo mawazo watu hawakumbuki ulivyokuwa unasapoti CDM, umeshaanza kuitwa msaliti na wangejui true ID yako ilikuwa inafatia kufukuzwa kwenye chama.
 
Pokeeni basi mawazo ya wenzenu pia. Yaani ukiwa CHADEMA unakuwa kama umetekwa nyara, leo Salary Slip katoa mawazo yake anaitwa msaliti; Msigwa kapost FB akiwa na EL imekuwa shida. Ukiwa CHADEMA huna uhuru wa kutoa mawazo yako kwa kuwa ukitoa mawazo tofauti tu basi jina lako linageuka na kuitwa msaliti. Kumbe ndio maana hapa JF kuna ushabiki wa kushangaza kabisa. Utakuta mtu anashadidia kitu ambacho hakina maana hadi anatukana kumbe ni kwa sababu ametekwa nyara haruhusiwi kutoa mawazo huru. Ukiwa na wazo huru tu basi wewe msaliti.

Uhuru wa mawazo tutautoa November baada ya kubeba dola, sasa hivi agenda yetu ni ukombozi mkuu.

UKOMBOZI KWANZA DEMOKRASIA BADAE
 
Pokeeni basi mawazo ya wenzenu pia. Yaani ukiwa CHADEMA unakuwa kama umetekwa nyara, leo Salary Slip katoa mawazo yake anaitwa msaliti; Msigwa kapost FB akiwa na EL imekuwa shida. Ukiwa CHADEMA huna uhuru wa kutoa mawazo yako kwa kuwa ukitoa mawazo tofauti tu basi jina lako linageuka na kuitwa msaliti. Kumbe ndio maana hapa JF kuna ushabiki wa kushangaza kabisa. Utakuta mtu anashadidia kitu ambacho hakina maana hadi anatukana kumbe ni kwa sababu ametekwa nyara haruhusiwi kutoa mawazo huru. Ukiwa na wazo huru tu basi wewe msaliti.
Chama chochote kina taratibu zake ambazo zinaongozwa na katiba na kuna sehemu yakupeleka malalamiko mawazo nk je hapo jf ndio penyewe hatutatetea au kuwafungia macho kwa namna yoyote wasaliti

Chadema kwanza
 
Ningekuwa ni mwalimu ningekupa alama hasi maana sioni ulichoshauri. Propaganda umeambiwa ni kitu kinachokua na kinabadilika hata afadhali ya upepo. Hivi ni katiba gani inayoweza kuzuia negative propaganda who aim is to put people off track? Umeambiwa zimeanza propaganda za chama cha Wachaga, mara cha Wakristu, mara cha ukanda, mara ugaidi na sio kesho watakuja na nini. Hivi ni katiba gani ambayo inaweza kuwa anti- propaganda. Sidhani kama ipo maana bianadamu naweza kuwa distractive kuliko maelezo. Kinachotakiwa na Chadema ni kueneza elimu yenye dhamira njema hata kwa wana CCM. Dhamira nzuri ndio silaha kubwa sana . Katiba na vilivyomo ni kijaribu kuweka discipline. Disciplie peke yake haitoshi na ndio maana watu wabaya katika historia walikuwa na katiba zenye nishamu ya hali ya juu lakini kwa sababu walisahau roho(dhamira) waliishia/wameishia kuleta maangamizi dunia. Hitler, Musolini walikuwa na katiba na majeshi yenye nidhamu. Walichoiachia dunia ni maangamizi. Alcaeda, Alshababu, Bhoko Haramu, Hezbolla, ISIS na nyinginezo zina katiba na sharia kali ambazo wafuasi wanazitii lakini angalia maangamizi yao katika dunia. Tusijidanganye kuwa CDM inaweza kuwa na katiba isyo mawaa inachotakiwa ni kuongea sauti ya watu na kusikia sauti ya moyoni mwa Watanzania
Nani amekuambia natoa ushauri? Kwa ufahamu wako nimemshauri nani au nini? By the way, mbona unapita mle mle nilimopita mimi? Nimesema wazi kwamba watu wanapoponda suala la kutokuwapo kwa ukomo wa uongozi hiyo huwezi kuita ni propaganda coz' ni kweli katiba ya CHADEMA imeondoa ukomo wa uongozi, adiha nikasema kwamba, tunachoweza kuita propaganda ni suala la CHADEMA na Uchaga... mbona unaonekana ni kana kwamba hufahamu ni nini hasa maana ya propaganda? Here's the heads-up:
Propaganda is the Information, especially of a biased or misleading nature, used to promote a political cause or point of view. propaganda - definition of propaganda in English from the Oxford dictionary
Nyingine hii hapa:
Propaganda is the spreading of information in support of a cause. It’s not so important whether the information is true or false or if the cause is just or not — it’s all propaganda.
The word propaganda is often used in a negative sense, especially for politicians who make false claims to get elected or spread rumors to get their way. In fact, any campaign that is used to persuade can be called propaganda. propaganda - Dictionary Definition : Vocabulary.com
Sasa watu wakihusisha udikteta na kutotoa uhuru wa kutafuta haki mahakamani hiyo sio false claim coz' katia ya CHADEMA haitoi uhuru huo! Watu wakihusisha chama na uongozi wa uongozi uimla hiyo sio propaganda coz', kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA mtu anaweza kuwa Mwenyekiti hata kwa miaka 50!!!

Hayo ya ugaidi, Uchaga, ukanda and the like ndizo propaganda zenyewe lakini sikuwa na sababu za kuzitaja reference yangu ilikuwa ni kwa mtoa mada na mambo aliyoyataja!!

Naona umeongea mengi kiasi cha kutoka nje ya mada... Salary Slip ame-highlight mambo ambayo anaonelea ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuyabadilisha... jikite kwenye hayo mambo na usitake kuelezea uzuri na ama ubaya wa katiba kwa sababu sio mada... Mleta mada ameleta baadhi ya vipengele vya katiba kwahiyo jikite kwenye hivyo vipengele badala ya kuielezea katiba kiujumla jumla!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom