Mambo Makubwa yaliyoondoa credibility ya CHADEMA!

Mambo Makubwa yaliyoondoa credibility ya CHADEMA!

Na mimi siwaoni wala siwasikii
January Makamba
Ole Sedeka
Abdurahman Kinana
Mwingulu Nchemba
Rizwan Kikwete
Nchimbi
Kabla huja angalia chadema anza na wa Lumumba.


Ndukiiiii
 
Na mimi siwaoni wala siwasikii
January Makamba
Ole Sedeka
Abdurahman Kinana
Mwingulu Nchemba
Rizwan Kikwete
Nchimbi
Kabla huja angalia chadema anza na wa Lumumba.


Ndukiiiii
Hawa wamempunzika baada ya ushindi na kumuachia kazi jembe JPM...NA MIMI NDUKIIIII!
 
Utawasikia wapi wakati sizonje anataka acheze mpira yy tu uwanjani.
Hataki kucheza na timu nyingine, anaona timu yake ni bora kuliko zingine.
 
Kuna jamaa yenu analiaa kuwa katepeliwa mitaa ya lumumba mmeshamalizana naye?

Hamna hata huruma jamaa anavyolia namna ilee. Au mmemliza kimjini mjini🙁🙁
83688f76029abc753d2aec31eff3e246.jpg
 
Kumbe huwa mnawamiss ??!!. Sasa mbona mnataka mcheze wenyewe kwa kila hali ??!!
 
Kuna jamaa yenu analiaa kuwa katepeliwa mitaa ya lumumba mmeshamalizana naye?

Hamna hata huruma jamaa anavyolia namna ilee. Au mmemliza kimjini mjini🙁🙁
Yule hawawezi kumuogopa hata chembe, kama walizishigongo zile rambirambi zote za Kagera, huyu asahau kulipwa chake.
 
Wekeni uwanja sawa wa Siasa muone CHADEMA ilivyo na nguvu..

Mikutano ya Siasa hamtaki, bunge live hamtaki halafu unakuja kusema huwasikii wanasiasa wa CDM..

Kumbe akina Le Mutuz mpo wengi eeehh.
 
Kwa gharama yoyote ile siwezi kuruhusu nchi yangu itawaliwe na wanafiki na wabadilisha gia za angani Chadema.

Katikati ya utawala Mbowe anaweza kubadili gia na kuuza nchi, kama alivyouza chama chake
 
Sioni mkakati wowote wa Chadema kama ilivyokuwa awali kabla ya kupokea makapi ya CCM yaliyobatizwa jina la Oil Chafu.

Sioni na wala siwasikii wanasheria nguli kama kina Tundu lisu.

Simsikii Mnyika.

Msigwa kapotea

Kubenea nishamsahau

Sugu nilimuona kwenye clip ya fiesta.

Katibu wao ndio kazimika kabla yakuanza kazi...

Mdee Halima ndio usiseme....kimyaaa!

profesa J anaimba singeli

Mzee wa mabadiliko yuko South

Babu yao kingunge kaufytaa!

Chadema Mani ya shingo
 
Sioni mkakati wowote wa Chadema kama ilivyokuwa awali kabla ya kupokea makapi ya CCM yaliyobatizwa jina la Oil Chafu.

Sioni na wala siwasikii wanasheria nguli kama kina Tundu lisu.

Simsikii Mnyika.

Msigwa kapotea

Kubenea nishamsahau

Sugu nilimuona kwenye clip ya fiesta.

Katibu wao ndio kazimika kabla yakuanza kazi...

Mdee Halima ndio usiseme....kimyaaa!

profesa J anaimba singeli

Mzee wa mabadiliko yuko South

Babu yao kingunge kaufytaa!

Kamlipeni SHIGONGO hela yake
 
Kama hela za kujenga ofisi mmekosa, je hizo hela za kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano ya siasa mtatoa wapi??
unajua budget yao, ndo nyie mnaofatilia maisha ya watu kuwa flani kala nini leo na jana kala nini
 
Back
Top Bottom