Mambo Makubwa yaliyoondoa credibility ya CHADEMA!

Mambo Makubwa yaliyoondoa credibility ya CHADEMA!

Jingalao ktk mazingira na katiba hii tulionayo inategemea kuona nini kwa CDM ?! wakati usiku na mchana Maghufuli na serikali yake wanahakikisha CDM haifanyi siasa isipokuwa yeye tu.

Unapambana na mtu mliyemfunga miguu na mikono kisha unajiona boxer ?! Aibu kwa uongozi huu wa kufikirika. Weka mazingira ya ushindani sawa kisha urudi utambe hapa. Ccm bila police na jeshi haipo niamini.
 
Jingalao ktk mazingira na katiba hii tulionayo inategemea kuona nini kwa CDM ?! wakati usiku na mchana Maghufuli na serikali yake wanahakikisha CDM haifanyi siasa isipokuwa yeye tu.

Unapambana na mtu mliyemfunga miguu na mikono kisha unajiona boxer ?! Aibu kwa uongozi huu wa kufikirika. Weka mazingira ya ushindani sawa kisha urudi utambe hapa. Ccm bila police na jeshi haipo niamini.
Katika yote niliyoyataja hapo juu..mengi yalitokea kabla Magufuli hajawa Rais
 
Kuna mafisadi waliokuwa wanajimilikisha chama sasa wamenyooshwa na kufurushwa
Kumbe mafisadi walikuwa CCM nadhani ndio wamesababisha janga la mzunguko wa pesa. Mahskama ya mafisadi inawahusu
 
Kumbe mafisadi walikuwa CCM nadhani ndio wamesababisha janga la mzunguko wa pesa. Mahskama ya mafisadi inawahusu
Waliongozwa na mgombea wenu...usisahau
 
Katika yote niliyoyataja hapo juu..mengi yalitokea kabla Magufuli hajawa Rais
Siyo jibu weka uwanja huru, Tume huru, Katiba ya wananzengo halafu use hapa kifua mbele. Wacha kutegemea vyombo vya dola halafu uje utambe hapa vinginevyo ilinganishe Ccm yenyewe kwa yenyewe cz hamtaki ushindani ulio sawa.
 
Habari zenu wadau!

Niende kwenye mada moja kwa moja...

Inasemekana kuwa Chadema ni moja ya Chama ambacho kilipoanzishwa kiliogopewa sana hata na hayati mwalimu Nyerere...
Uchambuzi murua ingawa utawatibua bavicha.
 
Ni kukurupuka tu, hujua hata audience wako! Poor timing!
 
Siyo jibu weka uwanja huru, Tume huru, Katiba ya wananzengo halafu use hapa kifua mbele. Wacha kutegemea vyombo vya dola halafu uje utambe hapa vinginevyo ilinganishe Ccm yenyewe kwa yenyewe cz hamtaki ushindani ulio sawa.
Well said 100%.
 
Waliongozwa na mgombea wenu...usisahau
Si MNA ushaidi na vielelezo vyote,mpelekeni mahakani..jadi yenu fisiem kuropoka ropoka.sijui mnafikiri kwa kutumia kinyeleo.
 
Sioni mkakati wowote wa Chadema kama ilivyokuwa awali kabla ya kupokea makapi ya CCM yaliyobatizwa jina la Oil Chafu.

Sioni na wala siwasikii wanasheria nguli kama kina Tundu lisu.

Simsikii Mnyika.

Msigwa kapotea

Kubenea nishamsahau

Sugu nilimuona kwenye clip ya fiesta.

Katibu wao ndio kazimika kabla yakuanza kazi...

Mdee Halima ndio usiseme....kimyaaa!

profesa J anaimba singeli

Mzee wa mabadiliko yuko South

Babu yao kingunge kaufytaa!
 
Back
Top Bottom