Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Hivi kweli yatoka moyoni mwako hayo?
Bunge lipi? La Ndugai?
Bunge la ndiyoooo, kushangilia na kupongeza Jiwe akipokea zamu ya kushika kijiti.
Bunge la kuandaliwa hotuba ya Upinzani?
 
Ujobile AMEN
 
Yanawahusu Nini watu wa Mbalali alipokuwa akihutubia? Kaanza kugeuza mikutano ya kampeni vijiwe vya story
Yajayo yanafurahisha.. hawajui watanzania tunataka maendeleo sio taarab na mipasho..
Rais Magufuli kafanya mengi sana wenye akili timamu ndio watakaoelewa tu...
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali

Kwani magufuli Jana aliyosema atampa kazi tibaijuka ndio sera ya ccm? Hizo mambo zinakuwepo tu kwenye kampen acha kujitoa akili ya kutaka kutuaminisha kuwa kila kitu anacho ongea mgombea ndio sera yake
 
Yajayo yanafurahisha.. hawajui watanzania tunataka maendeleo sio taarab na mipasho..
Rais Magufuli kafanya mengi sana wenye akili timamu ndio watakaoelewa tu...

Kila Rais kafanya mengi sana, tatizo la awamu hii mmekuwa na hofu Sana, kiasi kwamba hata ukila kuku nyumbani kwako unaona kama ni hisani ya Rais
 
Baada ya Lisu kumaliza kueleza hayo mambo kumi ukimuuliza mwana mbalali sera za Chadema Ni Nini atajibu Nini hapo?

Wanaijua ndio maana walienda kumsikiliza kama ww unavyoenda kumshangaa diamond
 
"Kufanya nyanda za juu kusini kuwa kituo cha kilimo cha biashara kusini mwa nchi za Africa"uwezo wa Lissu umeishia hapa.
hawezi,hawezi,hawezi kudadavua ataweka mfumo upi au mazingira yepi,pesa zitatoka mfuko upi,atawawezesha vipi wakulima,pembejeo,soko ili kufanikisha hili.
hawezi,hana icho kipaji.wakina Lipumba ni wabobezi wabobezi wa kuchanganua lakini kusema na kutenda nintofauti.
 

Ingekuwa ni hivyo kusingekuwa Fiesta kwa baadhi ya mikutano ya kampen
 
We k kweli ndo umejibu nn hapo sasa.. mleta mada kasema lisu alisema tazara nayo ni sgr... Tazara ni 1067mm thats mean sio sgr... Mimi nimeuliza.
Acha mnduku mnduku msukule ni waliokuzaa
 

Kumbe Hiko ni kipaji
Sasa si ndio maana Kuna wataalam?
Kwani kahawa na korosho zimekuwaje? Mwenye kipaji amefanya nn?
 
Kumbe Hiko ni kipaji
Sasa si ndio maana Kuna wataalam?
Kwani kahawa na korosho zimekuwaje? Mwenye kipaji amefanya nn?
Kama ni utaalam mbona kashindwa hata kusema atatumia wataalam,anabaki anabwabwaja?
 
Kama ni utaalam mbona kashindwa hata kusema atatumia wataalam,anabaki anabwabwaja?

Hahaha ndio maana una akili na umeenda shule, mambo mengine unajiongeza tu

Kwani ww ujui kuwa Rais anakuwa na team ya washauri?

Au nyie ndio wale mnadhan hata Rais hasikii njaa wala hachoki
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
Dada yangu,Hujawahi kuwa na hoja ya maana.Wenye akili wamemwelewa Lissu.Ukisoma tu hilo hitimisho unaelewa lengo la hizo hoja.
 
Kila Rais kafanya mengi sana, tatizo la awamu hii mmekuwa na hofu Sana, kiasi kwamba hata ukila kuku nyumbani kwako unaona kama ni hisani ya Rais
Hawafanyi wao, ni kwa niaba ya watanzania wote na kodi zetu na mali asili zetu na utekelezaji wa matakwa ya watanzania, kikubwa hapa ni usimamizi na uzalendo tu. Nchi hii ilikua inaelekea kubaya mkuu tuweke unafiki pembeni, Mzee Magu kajitahidi sana.
Yeye si malaika .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…