Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Mikutano ya kampeni Sio sehemu ya maswali Ni sehemu ya kunadi sera na kuomba kura sehemu ya maswali na majibu Ni bungeni alikokuwa huko angeuliza maswali yote apewe majibu na serikali hakuuliza anakuja kuuliza Nani kwenye mikutano ya kampeni

Mkutano wa kampeni Hakuna Spika Wala waziri anapotezea muda watu tu

Anadi sera zake aombe kura . Aondoke aende Kwingine
Hivi kweli yatoka moyoni mwako hayo?
Bunge lipi? La Ndugai?
Bunge la ndiyoooo, kushangilia na kupongeza Jiwe akipokea zamu ya kushika kijiti.
Bunge la kuandaliwa hotuba ya Upinzani?
 
Kazi kubwa hapa
1:kutengeneza wananchi waliorubuniwa kwa mda mrefu sana toka miaka ya 60 kuwa Chama kimoja tu kimetumia ujinga wao wananchi kuendelea kukaa madarakan...hivo kubadil akili zao!
2:kumwambia mwananch kuwa huyu anaekupenda au anaedai amekupenda kwa mda mrefu mbona vitendo vyake havireflect ukweli?mfn.yeye ndg zake 4 ama 5 ama zaidi wamejaa ofs moja halaf wewe hapa kijjn watoto wako wamekosa ajira na wamesoma.
3:kuwambia wananchi kuwa kinachobiriwa na mtawala kuwa amefanya hata wengine walifanya?kwanini atake sifa tu yeye?
4:nk nk

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ujobile AMEN
 
Yanawahusu Nini watu wa Mbalali alipokuwa akihutubia? Kaanza kugeuza mikutano ya kampeni vijiwe vya story
Yajayo yanafurahisha.. hawajui watanzania tunataka maendeleo sio taarab na mipasho..
Rais Magufuli kafanya mengi sana wenye akili timamu ndio watakaoelewa tu...
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali

Kwani magufuli Jana aliyosema atampa kazi tibaijuka ndio sera ya ccm? Hizo mambo zinakuwepo tu kwenye kampen acha kujitoa akili ya kutaka kutuaminisha kuwa kila kitu anacho ongea mgombea ndio sera yake
 
Yajayo yanafurahisha.. hawajui watanzania tunataka maendeleo sio taarab na mipasho..
Rais Magufuli kafanya mengi sana wenye akili timamu ndio watakaoelewa tu...

Kila Rais kafanya mengi sana, tatizo la awamu hii mmekuwa na hofu Sana, kiasi kwamba hata ukila kuku nyumbani kwako unaona kama ni hisani ya Rais
 
Nyie kizazi cha nyoka....
Na bado!! Mtachanganyikiwa sana mwaka huu

Kwani hakuongea Sera za Chama chake ??? Kubadirisha mfumo wa utawala ni nini??? Kuifanya nyanda za juu kusini kuwa kanda maalumu ya uzalishaji wa kilimo na biashara za kilimo kwa nchi za kusini mwa Africa nini???

Kutoa Bima ya Afya kwa watu wote ni nini???? Kuwafidia wote waliohamishwa kuongeza mbuga ya ruaha ni nini????

Kwa kifupi CCM mmechanganyikiwa na hamna cha kumjibu Tundu Antiphas Lissu mnaishia kuchanganyikiwa na kutoa propaganda uchwara
"Kufanya nyanda za juu kusini kuwa kituo cha kilimo cha biashara kusini mwa nchi za Africa"uwezo wa Lissu umeishia hapa.
hawezi,hawezi,hawezi kudadavua ataweka mfumo upi au mazingira yepi,pesa zitatoka mfuko upi,atawawezesha vipi wakulima,pembejeo,soko ili kufanikisha hili.
hawezi,hana icho kipaji.wakina Lipumba ni wabobezi wabobezi wa kuchanganua lakini kusema na kutenda nintofauti.
 
Mikutano ya kampeni Sio sehemu ya maswali Ni sehemu ya kunadi sera na kuomba kura sehemu ya maswali na majibu Ni bungeni alikokuwa huko angeuliza maswali yote apewe majibu na serikali hakuuliza anakuja kuuliza Nani kwenye mikutano ya kampeni

Mkutano wa kampeni Hakuna Spika Wala waziri anapotezea muda watu tu

Anadi sera zake aombe kura . Aondoke aende Kwingine

Ingekuwa ni hivyo kusingekuwa Fiesta kwa baadhi ya mikutano ya kampen
 
standard-gauge railway is a railway with a track gauge of 1,435 mm. The standard gauge is also called Stephenson gauge after George Stephenson, International gauge, UIC gauge, uniform gauge, normal gauge and European gauge in Europe.

Jihadharini sn na story za vijiwe vya lumumba nyie misukuke
We k kweli ndo umejibu nn hapo sasa.. mleta mada kasema lisu alisema tazara nayo ni sgr... Tazara ni 1067mm thats mean sio sgr... Mimi nimeuliza.
Acha mnduku mnduku msukule ni waliokuzaa
 
"Kufanya nyanda za juu kusini kuwa kituo cha kilimo cha biashara kusini mwa nchi za Africa"uwezo wa Lissu umeishia hapa.
hawezi,hawezi,hawezi kudadavua ataweka mfumo upi au mazingira yepi,pesa zitatoka mfuko upi,atawawezesha vipi wakulima,pembejeo,soko ili kufanikisha hili.
hawezi,hana icho kipaji.wakina Lipumba ni wabobezi wabobezi wa kuchanganua lakini kusema na kutenda nintofauti.

Kumbe Hiko ni kipaji
Sasa si ndio maana Kuna wataalam?
Kwani kahawa na korosho zimekuwaje? Mwenye kipaji amefanya nn?
 
Kumbe Hiko ni kipaji
Sasa si ndio maana Kuna wataalam?
Kwani kahawa na korosho zimekuwaje? Mwenye kipaji amefanya nn?
Kama ni utaalam mbona kashindwa hata kusema atatumia wataalam,anabaki anabwabwaja?
 
Kama ni utaalam mbona kashindwa hata kusema atatumia wataalam,anabaki anabwabwaja?

Hahaha ndio maana una akili na umeenda shule, mambo mengine unajiongeza tu

Kwani ww ujui kuwa Rais anakuwa na team ya washauri?

Au nyie ndio wale mnadhan hata Rais hasikii njaa wala hachoki
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
Dada yangu,Hujawahi kuwa na hoja ya maana.Wenye akili wamemwelewa Lissu.Ukisoma tu hilo hitimisho unaelewa lengo la hizo hoja.
 
Kila Rais kafanya mengi sana, tatizo la awamu hii mmekuwa na hofu Sana, kiasi kwamba hata ukila kuku nyumbani kwako unaona kama ni hisani ya Rais
Hawafanyi wao, ni kwa niaba ya watanzania wote na kodi zetu na mali asili zetu na utekelezaji wa matakwa ya watanzania, kikubwa hapa ni usimamizi na uzalendo tu. Nchi hii ilikua inaelekea kubaya mkuu tuweke unafiki pembeni, Mzee Magu kajitahidi sana.
Yeye si malaika .....
 
197 Reactions
Reply
Back
Top Bottom