Yoooote nafanya not "kuosha vyombo" hiii hapana! !!!!
true,including neno samahani
kwa makabila mengine ni laana kwa mwanamume kuingia jikoni aseeKuosha vyombo,jamani yani kuna BAADHI ya wanaume kufanya kazi ndo ndogo kama hizo wanaona kama sijui watakua GAY? wengine utaskia mtoto wa kiume hatakiwi kuingia jikoni,napenda mtu anaependa kusaidia vikazi vidogo vidogo lakini mh!
Watasema hawa, Butiku, mwinyi wote wamesema. itafika wananchi wataamua wenyewe, kwani hawaoni. wanasubiri mkuu achukue hatua, ole wake ashindwe kuchukua atalijua jiji.
kwa makabila mengine ni laana kwa mwanamume kuingia jikoni asee
mwenye masikio watasikia na wenye macho wataelewa........
if u love someone love as u will never love again
note :tambua moyo wa mtu kiza kinene waweza fanya yooote na ukaachwa
Kama hakuna kipengele cha pesa hapo undanganya wananchi tu.
Yoooote nafanya not "kuosha vyombo" hiii hapana! !!!!
kwa makabila mengine ni laana kwa mwanamume kuingia jikoni asee
Yoooote nafanya not "kuosha vyombo" hiii hapana! !!!!
hahaaaa brother umenichekeshaje......,
Huna dishwasher?:becky::becky: