Mambo 5 ya kumfanyia mpenzi wako:

Mambo 5 ya kumfanyia mpenzi wako:

Nmekuja kwa spidi kupata ujuzi kumbe kuna ufyoro tu apa
 
Lucky.jpg
 
Du pesa ndio kila kitu. Yanatangulia mapenzi kuwanza na utapenda kabla ya pesa. Lakini pesa ndio hufanya penzi kuwa imara mara 1000. Unapokuwa huna pesa utapendwa lakini kubali kumegewa na roho itakuhuma kutokana na umaskini wako. Haswa mapenzi ya mjini bila pesa mamivu huyo lady asidanganye jukwa bana
 
We ni kuzi chaliiangu

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Ukwel ndo huo most of girls kama hatujakupenda , hunijali, huniheshimu, huna decision making in life, 6*6 , hunifikish Mount Kilimanjaro heeeee uuuups hela yako italika sana na siku ya mwisho unapigwa chini

uuuuuups! that's it!
 
Poor thnkng capacity pamoja na kuxema money inatake place ktk love lkn sio khvyo k2 kumgegeda vzr ndcho ktakachpfanya ackuaxhe.
 
Yafuatayo ni mambo matano muhimu ya kumfanyia mpenzi wako ili akupende kwa dhati, hebu jaribu kisha utanipa mrejesho:
1. Mpe hela
2. Mpe hela
3. We mpe hela
4. Nakwambia mpe hela
5. We mpe hela tu utaona.

wewe unachotafuta ni zigo la matusi japo ni kweli mpe hela mpe hela mpe hela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom