Mambo 30 usiyoyajua kuhusu msitu wa Amazon

Kwa nini?
Ingekuwa ni kweli kuhusu hayo matunda na vyakula kuwa yanapatikana huko sipati picha jinsi watu wangeshambulia huo msitu.

Swala la watu wake kutokuonana na watu wa duniani sasa sijui hao wachunguzi waliwapataje kuwang'amua kihivyo. Neno duniani najua hapo limetumika kama kivutio tu!
 
R. Amazon discharges to the sea an average of 209,000 cubic meters/sec! More than the next 7 world's largest rivers combined!

Let's put this into perspective; F1B nilifundishwa density of water (of course pure water) ni 1000g/ltr. That means, 1000ltrs (i.e. 1 cubic meter) of water equal to 1 ton. Kwa maana hiyo R. Amazon unamwaga baharini tani 209,000 za maji kwa sekunde! You got it?

Iko hivi, kuna zile semi-trela zina uwezo wa kubeba tani 50 if fully loaded. Kwa maana hiyo 209,000/50 = 4,180 ni idadi ya semi ambazo zingepaswa kubeba maji yanayomwagwa baharini na R. Amazon kwa sekunde moja! You got it?

Iko hivi, zile semi zina urefu wastani wa mita 15 so, semi 4,180 x 15 = 62,700m = 62.700km. Yaani itahitajika msafara wa semi wenye urefu wa km 62.7 (kama kutoka Ubungo Dar to Chalinze along Morogoro Road; kwa wastani wa kuacha nafasi ya mita 15 kati ya gari na gari kama sheria ya mizani inavyotaka) zikiwa zimebeba shehena ya maji yanayomwagwa baharini na The Amazon for just one second! Kwa dakika, lisaa, wiki, mwezi, mwaka, zinamwagwa tani ngapi? Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Amen.
 
Hivi huwa mnajuaje kwamba watu hawayajui hayo ? Kwa nini usemi tusiyoyajua , umejuaje ya kuwa watu hawayajui ?
 
Ingekuwa ni kweli kuhusu hayo matunda na vyakula kuwa yanapatikana huko sipati picha jinsi watu wangeshambulia huo msitu.

Swala la watu wake kutokuonana na watu wa duniani sasa sijui hao wachunguzi waliwapataje kuwang'amua kihivyo. Neno duniani najua hapo limetumika kama kivutio tu!
Hoja yako ya kupinga matunda na vyakula kuwepo huko msituni ni dhaifu sana. Kwamba kwa vile hujasikia watu kuushambulia huo msitu basi hivyo vitu havipo? Kwamba kwa vile umeambiwa ni msitu basi watu kwa idadi yoyote wanaweza kuingia ndani ya msitu na kufanya chochote.Hujui kuwa misitu inalindwa? Hata hapa nchini kwetu tuna mamlaka za kulinda misitu.
 
Jaguar wana rangi/ngozi tofauti tofauti kama ilivyo kwa chui wengine (wa madoa, mistari, au mabaka) ambapo ngozi hizo hazifanani kati ya mmoja na mwingine abadani

Hivyo huyo mweusi aliyetajwa ni "black panther" ambapo naye siyo kwamba ni kweli anapatikana huko Amazon tu. Pia jaguar wanaishi kwa kujificha kwenye vichaka na misitu (mmoja mmoja- hawana makundi), hawapendelei juu ya miti japo wanaweza kuparamia juu ya miti. Hapo kwenye spidi pia sidhani maana wao mawindo yao ni ya kukamata kwa kushtukiza chaka kwa chaka au kwenye maji sasa sijui hiyo observation ya kuwatia the 2nd fastest animal ilifanyikaje
nimekusoma mkuu
 
Ingekuwa ni kweli kuhusu hayo matunda na vyakula kuwa yanapatikana huko sipati picha jinsi watu wangeshambulia huo msitu.

Swala la watu wake kutokuonana na watu wa duniani sasa sijui hao wachunguzi waliwapataje kuwang'amua kihivyo. Neno duniani najua hapo limetumika kama kivutio tu!
hakika
 
R. Amazon discharges to the sea an average of 209,000 cubic meters/sec! More than the next 7 world's largest rivers combined!

Let's put this into perspective; F1B nilifundishwa density of water (of course pure water) ni 1000g/ltr. That means, 1000ltrs (i.e. 1 cubic meter) of water equal to 1 ton. Kwa maana hiyo R. Amazon unamwaga baharini tani 209,000 za maji kwa sekunde! You got it?

Iko hivi, kuna zile semi-trela zina uwezo wa kubeba tani 50 if fully loaded. Kwa maana hiyo 209,000/50 = 4,180 ni idadi ya semi ambazo zingepaswa kubeba maji yanayomwagwa baharini na R. Amazon kwa sekunde moja! You got it?

Iko hivi, zile semi zina urefu wastani wa mita 15 so, semi 4,180 x 15 = 62,700m = 62.700km. Yaani itahitajika msafara wa semi wenye urefu wa km 62.7 (kama kutoka Ubungo Dar to Chalinze along Morogoro Road; kwa wastani wa kuacha nafasi ya mita 15 kati ya gari na gari kama sheria ya mizani inavyotaka) zikiwa zimebeba shehena ya maji yanayomwagwa baharini na The Amazon for just one second! Kwa dakika, lisaa, wiki, mwezi, mwaka, zinamwagwa tani ngapi? Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Amen.
amen
 
hiyo ya mchanga kupeperuka kutoka sahara na kusafiri juu ya bahari kilomita zaidi ya milioni moja ni ulongo na uchawi.

Huyo Jaguar nasikia ndiyo mnyama hatari kuliko wote
anapanda mti
anaogelea
ana spidi

Yani huna pa kumchenga
 
Back
Top Bottom