Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,216
- 2,821
Ingekuwa ni kweli kuhusu hayo matunda na vyakula kuwa yanapatikana huko sipati picha jinsi watu wangeshambulia huo msitu.Kwa nini?
Swala la watu wake kutokuonana na watu wa duniani sasa sijui hao wachunguzi waliwapataje kuwang'amua kihivyo. Neno duniani najua hapo limetumika kama kivutio tu!