mtafute akuongeze kwenmye list yakesukari ya warembo ni zaidi ya umjuavyo
safi dadaSukari ya warembo kasoro mimi namuona pilipili
Diamond mwacheni afanye yake watz roho za korosho Sana, Mtu akifanikiwa kidogo utasikia unga Freemason, mijitu mingine Kama haikukanyaga shule, acheni roho za kutu, na kanumba ilikua hivo hivo ohh Freemason mara English mbovu nyie mnaojua kikristo mbona hata m10 bank hamna! Roho mbaya Kama misaga sumu,,
hatukatai kua na hela ila usitukataze kukwambia jinsi ulivyopata hela zako kama tunajua
nshawin tiari sitaki mengi zaidi im satistified with what i have ila ata siku moja huwezi kuniona magogoni kwenda kuchukua hela za kubeba sembe USA under umbrellar of ccm, simplest and narrow minded.
Diamond mwacheni afanye yake watz roho za korosho Sana, Mtu akifanikiwa kidogo utasikia unga Freemason, mijitu mingine Kama haikukanyaga shule, acheni roho za kutu, na kanumba ilikua hivo hivo ohh Freemason mara English mbovu nyie mnaojua kikristo mbona hata m10 bank hamna! Roho mbaya Kama misaga sumu,,
wewe hukuelewa maana ya kikristo!! maaana yake English mie wala siwazi mambo ya udini kwanza mi sio Islamwe nawe muislamu mwenzangu umechemka! kama umeishia madrasatul bin Laden's acha kuingiza udini. diamond anapendwa zaidi na wadada tena wengi wao ni wakristo na baadhi wamediriki kubadili dini kumfuata. .. ndg zetu wakristo nawaomba msamaha kwa ajili y ndg yng wa madrassatul
so what?....who care?...i don give a dem.
1. Ana utajiri unaozidi shilingi bilioni 1.
2. Yupo kwenye mazungumzo na promoter wa Rwanda kufanya show moja ya uwanjani ambayo anaweza kulipwa dola 120,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 190.
3. Malipo ambayo hupokea kwa show zake nyingi za nje ya nchi hayashuki chini ya dola 25,000.
4. Tangia mwaka 2011 mwishoni akaunti yake haijawahi kushuka chini ya shilingi milioni 100.
5. Anamiliki nyumba kadhaa alizopangisha.
6. Wimbo Mawazo alimwandikia Jacqueline Wolper ambaye alikuwa mpenzi wake.
7. Kamwambie na Mbagala alimwambia mpenzi wake aitwaye Sarah aliyemkataa (Diamond) sababu hakuwa na uwezo.
8. Ukimwona alimwandikia Wema Sepetu baada ya kumsaliti.
9. Ili kuvunja mkataba na aliyekuwa meneja wake Papa Misifa, ilibidi amlipe shilingi milioni 18.
10. Ana timu (anayoilipa mshahara) ya watu zaidi ya 12 wakiwemo dancers, mtu wa mavazi, msaidizi wake, wapiga picha wawili nk
11. Ana mkataba mnono na Coca cola wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia kwa mwaka
Sukari ya warembo kasoro mimi namuona pilipili
Umejuaje????
1. Ana utajiri unaozidi shilingi bilioni 1.
2. Yupo kwenye mazungumzo na promoter wa Rwanda kufanya show moja ya uwanjani ambayo anaweza kulipwa dola 120,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 190.
3. Malipo ambayo hupokea kwa show zake nyingi za nje ya nchi hayashuki chini ya dola 25,000.
4. Tangia mwaka 2011 mwishoni akaunti yake haijawahi kushuka chini ya shilingi milioni 100.
5. Anamiliki nyumba kadhaa alizopangisha.
6. Wimbo Mawazo alimwandikia Jacqueline Wolper ambaye alikuwa mpenzi wake.
7. Kamwambie na Mbagala alimwambia mpenzi wake aitwaye Sarah aliyemkataa (Diamond) sababu hakuwa na uwezo.
8. Ukimwona alimwandikia Wema Sepetu baada ya kumsaliti.
9. Ili kuvunja mkataba na aliyekuwa meneja wake Papa Misifa, ilibidi amlipe shilingi milioni 18.
10. Ana timu (anayoilipa mshahara) ya watu zaidi ya 12 wakiwemo dancers, mtu wa mavazi, msaidizi wake, wapiga picha wawili nk
11. Ana mkataba mnono na Coca cola wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia kwa mwaka
Umejuaje????