Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,687
- 5,035
Waafrika siku zote wapo chini huko, na watabaki hivyo daima. Hawana nguvu yoyote ya maana ya kisiasa kwenye jamii. Wanabebwa na sheria tu ambazo hazibagui, lakini Wazungu wanawabagua kila kukicha and you are always outsiders and always discriminated against, more so in the private sphere. And you feel it everyday you wake up. Huo ndiyo ukweli. Hata Wakimbizi wa Kiarabu Kutoka Syria na Iraq wanathaminiwa kuliko Waafrika sababu ya ngozi yao.Una maana gani wazungu kwanza,wahindi wanafuata,kwenye Nchi ipi ?
Hapa Sweden inategemea na jitihada yako.Kiongozi wa Chama cha Upinzani Liberals Sweden ni mwanamke mweusi Nyamko Sabuni.Ambaye awali alishawahi kuwa waziri kwenye serikali iliyopita.
Kuna weusi wengi kwenye post mbalimbali za juu.Ni bidii na uwezo wako tu.Ukiwa na mawazo defeats na inferiority complex kufanikiwa ni ngumu sana.