matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,596
- 15,393
1: Ubishi na ujuaji. ( Undevelopable mindset)
2: Kung'ang'ania kukaa sehemu hiyohiyo hata kama mambo yamegoma.
3: Kufunguka. Kutaka kila mtu ajue wewe ni nani na unanini.
4: Kulakula hovyo bila mpango.
5: Marafiki wengi ambao hawana mchango kwenye fyucha yako.
6: Kuwa na connection legelege na Muumbaji wako.
7: Kutaka kujua sana mambo ya watu badala ya kujijua/Kujitafuta wewe.
8: Kukoswa shukrani kwa kidogo ulicho nacho.
9: Kuhisi kukwama kwako ni matokeo ya kurogwa au laana.
10: Kusubiri hadi uwe na kila kitu ndio huanze kupiga hatua.
Ni hayo tu.
Source: mimi mwenyewe.
2: Kung'ang'ania kukaa sehemu hiyohiyo hata kama mambo yamegoma.
3: Kufunguka. Kutaka kila mtu ajue wewe ni nani na unanini.
4: Kulakula hovyo bila mpango.
5: Marafiki wengi ambao hawana mchango kwenye fyucha yako.
6: Kuwa na connection legelege na Muumbaji wako.
7: Kutaka kujua sana mambo ya watu badala ya kujijua/Kujitafuta wewe.
8: Kukoswa shukrani kwa kidogo ulicho nacho.
9: Kuhisi kukwama kwako ni matokeo ya kurogwa au laana.
10: Kusubiri hadi uwe na kila kitu ndio huanze kupiga hatua.
Ni hayo tu.
Source: mimi mwenyewe.