amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,369
1. Ishi kwa kumtegemea Mungu
2. Weka akiba ya fedha bank
3. Tafuta mpenz mmoja sahihi, atakaekuwa mshaur kwako
4. Anza maisha ya kujitegemea na sio kuishi kwa wazazi au marafiki
5. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo.
6. Anzisha miradi (hata kulima mboga ikibidi) na anza kununua assets kama ardhi.
7. Lipa maden yako yote ya zaman.
8. Jali afya yako, jilinde na maambukiz ya vvu, kula vizuri, fanya mazoezi.. itakusaidia kuwa active kwa kila utakachoamua na kufanya.
9. Jifunze kuvaa kwa heshima na kuishi vizuri na watu.
10. Matukio yote ya zamani na moments zote za foolish age zifute na anza maisha mapya kama unazaliwa leo.
2. Weka akiba ya fedha bank
3. Tafuta mpenz mmoja sahihi, atakaekuwa mshaur kwako
4. Anza maisha ya kujitegemea na sio kuishi kwa wazazi au marafiki
5. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo.
6. Anzisha miradi (hata kulima mboga ikibidi) na anza kununua assets kama ardhi.
7. Lipa maden yako yote ya zaman.
8. Jali afya yako, jilinde na maambukiz ya vvu, kula vizuri, fanya mazoezi.. itakusaidia kuwa active kwa kila utakachoamua na kufanya.
9. Jifunze kuvaa kwa heshima na kuishi vizuri na watu.
10. Matukio yote ya zamani na moments zote za foolish age zifute na anza maisha mapya kama unazaliwa leo.