Mambo 10 ya kuzingatia kabla ya kuvuka miaka 26

amaizing

JF-Expert Member
May 3, 2013
3,616
12,369
1. Ishi kwa kumtegemea Mungu
2. Weka akiba ya fedha bank
3. Tafuta mpenz mmoja sahihi, atakaekuwa mshaur kwako
4. Anza maisha ya kujitegemea na sio kuishi kwa wazazi au marafiki
5. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo.
6. Anzisha miradi (hata kulima mboga ikibidi) na anza kununua assets kama ardhi.
7. Lipa maden yako yote ya zaman.
8. Jali afya yako, jilinde na maambukiz ya vvu, kula vizuri, fanya mazoezi.. itakusaidia kuwa active kwa kila utakachoamua na kufanya.
9. Jifunze kuvaa kwa heshima na kuishi vizuri na watu.
10. Matukio yote ya zamani na moments zote za foolish age zifute na anza maisha mapya kama unazaliwa leo.
 
kwahiyo Mkuu Lady doctor it means kuwa umeshachagua mpenzi moja wa maishani? Dah yote mi nimefuzu kasoro mbili kuishi kwa wazazi na kumchagua mpenz au mdada wa maishani!

hahahaaa bily hilo sio swala la kuuliza maana na namshukuru Mungu kwahilo maana ilikuwa nimoja kati ya malengo yangu niliyokuwa nimejiwekea wakati niko under20 na naamini mpaka nifike 26 Mungu atanitendea zaidi na zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Haya pouwa Lady doctor hongera kwa kupiga hatua kubwa kama hilo naamini hadi ufikie hapo haujakurupuka bali ni maamuzi makini kutoka kwa mtu makini. All the best my dia.

hahahaaa bily hilo sio swala la kuuliza maana na namshukuru Mungu kwahilo maana ilikuwa nimoja kati ya malengo yangu niliyokuwa nimejiwekea wakati niko under20 na naamini mpaka nifike 26 Mungu atanitendea zaidi na zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Kama nihayo mimi nimepass kasoro 1 naninalitafutia ufumbuzi miaka 26 bado mt anategemea kulishwa?majanga
 
Wengi tunapenda mambo hayo kutokea lakini dunia inamishe mishe zake, wakati mwingine kujenga au kuwa na kiwanja mpaka pesa ya kustaafia itoke.
 
Back
Top Bottom